Waifu kajanjaruka!!!

Waifu kajanjaruka!!!

kaka jiangalie mtego huo..labda na yeye tayari kajiunga hapa jf hapo anakutega uingie mkenge uone cha moto......utapaka rangi upepo kisemo cha amakrey
 
Last edited by a moderator:
Kweli make atakudharau kwa posti za kijingajinga wakati we unaingiza buku 7.

mkuu nitake radhi,mi sio wa kupewa kanga na tshirt za kijani afu nikagawa maisha yangu kwa miaka mitano.naomba unitake radhi kabisa tena mara moja kabla cjampa waifu id niliyomfungulia ili akutukane kimoyo moyo.mi sio lumumba mkuu
 
I don't think kama ni tatizo c mkeo uyo or?bac kuna vitu vingi vyakishenzi unafanya dats y humpi

kama uliona post yangu moja nikiongelea kuhusu baba mkwe,nilitokea nae kidogo kupata kinywaji mara kapita dem mmoja mkali,baba mkwe kanisakizia.sasa waif aje aone vitu kama hivyo na kujua mzee wake alifanya kitu kama kile,si mi nitaonekana bwe**ge kwa waifu?na ujuavyo hamnaga siri,leo yaje yabumbuluke ukweni.mzee wake atanionaje?unajua kuna mambo ambayo unayaona na kuyanyamazia huwezi hata kumwambia waifu
 
khaaaa!!!!!!!!!!!! kumbhe ni wewe,,,,,,,,,,,,,,sasa utakoma uliko peleka mboga ukale huko huko
kwanza kbs nani kakwambia uje uanike mambo ya home hapa jamvini??

wallah leo ama zako ama zangu
 
Mme wangu kumbe unatumia hii username? Alafu mbona unaleta mambo yetu hukuuuu...? Tabia gani hii

toba!!! na wewe umeingia lini huku?nani kakufundisha?ni kabanga au mzizi mkavu?au ni mashoga zako heaven on earth na valentina?lakini nina wasiwasi na daud omar pia,labda kalia weeeee mpaka ukakubali akufundishe jf
 
khaaaa!!!!!!!!!!!! kumbhe ni wewe,,,,,,,,,,,,,,sasa utakoma uliko peleka mboga ukale huko huko
kwanza kbs nani kakwambia uje uanike mambo ya home hapa jamvini??

wallah leo ama zako ama zangu

basi mama pole pole majirani wasisikie,ongea kimoyo moyo
 
yani maumivu ya poole poole
vitu vingine watakiwa uviache km vilivyo ukivichokonoa utakoma mwenyewe
me kwa ukweli huwa sipendi karaha na simu ya mtu wala kudai password ya email au fb
staki kuupa moyo wangu ugonjwa
 
Back
Top Bottom