Waifu kajanjaruka!!!

Waifu kajanjaruka!!!

Usimpe, shauri yako! akizikuta zile pm itakuwaje? hivi ulishajifunza kutandika kitanda? anza kumtandikia mkeep bize asahau kukuomba pasiwodi
 
sina tatizo kabisa na inbox mkuu na wala sijawahi kutongoza kabisa humu jf coz am here 4 fun,hebu imagine kuna post yangu moja nimeeleza jinsi nilivyotoka na baba mkwe wangu afu akanisakizia mzigo.sasa akiiona si atanigeukia?au ile kuwa kuna siku niligombana nae nikaamua kwenda sudani kwa wahaya but nilishindwa kuduu.sasa akiiona si ndo atanichenjia?

Daaa, hiyo ya baba mkwe siikumbuki mkuu, dingimkwe mzuri sana huyo akiona kitu cha maana anakusakizia mzigo, huyo anafaa. Hiyo ya sudani naikumbuka mtu wangu, daaah! Umenikumbusha kumbe hata mimi siko salama humu, kwa maana namimi huwa napost ujinga sku zingine, daah, hizo akiona we mwambie ni utani tu....Lakini mwanaume ulifunguka mpaka bei...dah! You have one hell of an explanation to dom mpwa wangu!
 
toba!!! na wewe umeingia lini huku?nani kakufundisha?ni kabanga au mzizi mkavu?au ni mashoga zako heaven on earth na valentina?lakini nina wasiwasi na daud omar pia,labda kalia weeeee mpaka ukakubali akufundishe jf

Hata siku ulivyomsemaga Baba nilikuwa nshajiunga ila sikujua ni wewe...kuomba password nilikuwa nakutega tu...Sasa Leo nimekujua ...
 
Khaa!
Kozo Ozonto unajisaili kumpatia Username na password yako ya Jf! Why?
Au una kampango ka kushinda piemo?
...
I hope kuna mtu kamstua! Na alianza mwenyewe kusema "mme wangu time zote yupo JF!"
...
Dah! Kama ni kweli amekwambia hivyo, usipompa or ukichukua mda kumpa atakutilia mashaka kias kwamba ukichelewa or kumkosea kidogo tu atahusisha! Na hiyo ni mbaya kwa ndoa yenu! Uaminifu ndio mpango mzima ktk ndoa!
...
Ningekushauri umpatie atakacho kabla ya kupost hii thired!
...
Kwavile maji yakimwagika hayazoleki! Mpatie hata sasa but uhakikishe unamsetia 'wapsite' or 'touch' but kama unamajanga ukimsetia 'destop version' ndio umejimaliza!
 
Hata siku ulivyomsemaga Baba nilikuwa nshajiunga ila sikujua ni wewe...kuomba password nilikuwa nakutega tu...Sasa Leo nimekujua ...

basi yaishe mama sirudii tena,njoo basi tuyamalize
 
Daaa, hiyo ya baba mkwe siikumbuki mkuu, dingimkwe mzuri sana huyo akiona kitu cha maana anakusakizia mzigo, huyo anafaa. Hiyo ya sudani naikumbuka mtu wangu, daaah! Umenikumbusha kumbe hata mimi siko salama humu, kwa maana namimi huwa napost ujinga sku zingine, daah, hizo akiona we mwambie ni utani tu....Lakini mwanaume ulifunguka mpaka bei...dah! You have one hell of an explanation to dom mpwa wangu!

dah mkuu umeona sasa mambo yanavyokorogana?
 
khaaaa!!!!!!!!!!!! kumbhe ni wewe,,,,,,,,,,,,,,sasa utakoma uliko peleka mboga ukale huko huko
kwanza kbs nani kakwambia uje uanike mambo ya home hapa jamvini??

wallah leo ama zako ama zangu

Umembamba kiutamuuuu.....
 
Usimpe password wala username...kwasababu unaweza kuvuruga ndoa yako..pamoja na kwamba kuna ya kweli ushawahi post lakini pia kuna utani Kati ya waja jf..Sasa kila ukitaniwa utakuwa unaenda kumpa maelezo?...lakini poa kama kuna sehemu humtoshelezi jitahidi kubadirika pia...kashashtuka huyo...
 
Back
Top Bottom