Zamazamani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2008
- 1,903
- 829
very simpo..kama unavimeo inbox yako...mpe fake ID/just another ID....
Na b a doo...
Usimpe password wala username...kwasababu unaweza kuvuruga ndoa yako..pamoja na kwamba kuna ya kweli ushawahi post lakini pia kuna utani Kati ya waja jf..Sasa kila ukitaniwa utakuwa unaenda kumpa maelezo?...lakini poa kama kuna sehemu humtoshelezi jitahidi kubadirika pia...kashashtuka huyo...
Yaaaala....
inaonekana hujiamin kabixa
Usimpe password wala username...kwasababu unaweza kuvuruga ndoa yako..pamoja na kwamba kuna ya kweli ushawahi post lakini pia kuna utani Kati ya waja jf..Sasa kila ukitaniwa utakuwa unaenda kumpa maelezo?...lakini poa kama kuna sehemu humtoshelezi jitahidi kubadirika pia...kashashtuka huyo...
We hauoni akimnyima password ndiyo nyumba itakuwa haina amani, yaani anaanzaje kumnyima? Wewe bwananaako akikuomba simu yako ya mkononi ghafla bina vu wakati unajua kuna kijimeseji cha mpango wa kando haujakifuta utafanya nini?...utamnyima?..Na unapomnyima utatoa excuse gani?!!!
Hii sala ni komesha kwa wanawake wazinzi
Vibaya ivo mpe mwenzioo, usimnyimee mna share kitandaa nini username na password, ebu mpe usimkere...
Wewe na yeye hamna Siri, au kuna vitu akiona anaweza zimia?unaona ni rahisi rahisi tu
nachohofia ni yeye kuona post zangu ambazo zingine hapaswi kuziona
Wewe na yeye hamna Siri, au kuna vitu akiona anaweza zimia?