CYBERTEQ
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 7,341
- 4,045
anasaka maumivu
hamunaga maumivu jf webhe ng'wallu, huku watu hawanaga za kutongozana kama fb!
anasaka maumivu
vitu vingine watakiwa uviache km vilivyo ukivichokonoa utakoma mwenyewe
me kwa ukweli huwa sipendi karaha na simu ya mtu wala kudai password ya email au fb
staki kuupa moyo wangu ugonjwa
Kakakaka kakaaaa, post gani ambazo wewe zinakutia mashak, nina wasiwasi na huko inbox kwako mkuu! teh teh.
Acha kumbania mama totoo...ebu mpe bana
mke akililia wembe mpe.
sina tatizo kabisa na inbox mkuu na wala sijawahi kutongoza kabisa humu jf coz am here 4 fun,hebu imagine kuna post yangu moja nimeeleza jinsi nilivyotoka na baba mkwe wangu afu akanisakizia mzigo.sasa akiiona si atanigeukia?au ile kuwa kuna siku niligombana nae nikaamua kwenda sudani kwa wahaya but nilishindwa kuduu.sasa akiiona si ndo atanichenjia?
swahiba,unataka kuwasha moto kwa petroli?au unataka avona text nazoku pm ili ajue kuna msaidizi wake?
Haya majina haya, usikute mkeo ndio Heaven on Earth, mbona kazi unayo! Halafu sitashangaa mara baada ya huu uzi ukakuta PM za kutosha kutoka kwa wadada/wamama ili tu wakuharibie, kila wife akiingia kwa acc yako, anakutana na privent message, ndio mwanzo wa kuvunja ndoa huo kaka!
wadau,mi waifu wangu sio mtu wa mitandao kabisa japokuwa ni graduate na ana kazi yake.hata acc fb hana,anapenda vitu simpo simpo sana kasoro kuvaa ndo anapenda avae vizuri.amekuwa akiniona mi nashinda na laptop muda wote nachat napost etc etc.ana access na acc yangu ya fb so huwa anaingia kushangaa shangaa.jana jioni kanishangaza sana,amekurupuka tu anaanza kuniambia anataka username yangu na password nayotumia jamii forums.sasa nashangaa waifu kawaje au nani kamjanjatusha hadi akurupuke tu eti anataka acc yangu ya jf
nachohofia ni yeye kuona post zangu ambazo zingine hapaswi kuziona
Hii sala ni komesha kwa wanawake wazinziSala ya kuombea chupi ya mke baada ya kuinunua: Naiombea chupi ya mke wangu, naitakasa kwa damu yako baba, anapotoka ktk nyumba hii ivaliwe hapa na ivuliwe hapa tu, kama ataivua sehemu nyingine tofauti na nyumbani kwangu baba iwe kwa ajili ya kunya au kukojoa, naikabidhi ikiwa safi. Kama atavua kinyume na niliyosema basi Baba ---- yake ikapigwe UPOFU! Lisionekane tundu linalotafutwa. Eeemennnnnnn..