Waifu ananitegea!

gateway

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2014
Posts
467
Reaction score
123
Wadau salaam na hasa kwa wanamme wenzangu tuliooa,binafsi napata wakati mgumu saaana napotembea na waifu barabarani,yaani kazi yake kubwa huwa ni kuniangalia naangalia nini....hasa akipita mdada aliyejazia ambae utakuta kila mtu anamwamgilia barabarani,mi nikigeuza jicho tu msala unaanza,nitahojiwa naangalia nini na ili iweje.japokuwa wyf nae kajazia japokuwa havai kihasara kutokana na maadili.

Nisaidieni wanamme wenzangu,hivi na nyie nae mnakutana na hii hali au ni mimi tu waifu kazidisha wivu?
 
Hivi, why do women bother with such minute details.

Mungu ameumba jamani eeeeh tufurahieni uumbaji wake kwa pamoja!!

huwa anasema kama niko nae ndo naangalia hivyo je nikiwa pekeyangu inakuwaje?
 

Hahahhaa we kama my girl nikiwaga naye halafu akipita girl mkali sometimes najifanya sijamwona,utakuta ananishtua ""umemwona yule mdada,kapendeza eeh"
Aaah basi namjibu "kawaida tu"...naogopa nikimsifia anaweza akaudhika kisirisiri ingawa hataniambia
 
Hahaha.
kwenye maisha kuna matatizo (hii inawahusu watoto), na kuna changamoto (hizi ni za watu wazima).
mkikua mtaacha

Kuna dogo langu nilikuwa nalipeleka shule,yaani unakuta umbali wa mita 150 ila tabu tu,kila siku njia ni hiyo hiyo lakini lazima ashangae tu kama hajazoea vile,yaani nikijisahau anaweza kugongwa hata na gari
 

hhahahahhhaja wewe mwana dah i love that lol more than friend more than lover
 

Kha kumbe wyf upo huku au ni tabia tu znafanana
 
hhahahahhhaja wewe mwana dah i love that lol more than friend more than lover

Mwaya it hasn't been a bed of roses, no marriage is, but namshukuru Mungu kwa ile willingness ya pande zote kujitahidi kurekebisha mapungufu yaliyopo and keep growing deeper in love.
 

hahaaaaa u real made ma day...naumwa bt nimepata ahueni. mi cna mume bt napenda nimgeuze bby aangalie,namwambia geuka basiiii yan napenda sana yani...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…