waifu ananikaba...!!!!

waifu ananikaba...!!!!

Kozo Okamoto

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2013
Posts
3,391
Reaction score
1,546
tunapendana sana na waifu,tumetoka mbali na tumefanikiwa kupata watoto wawili.lakini waifu ananikaba sana,hataki kabisa niwe natoka,hata function za kazini huwa hataki niende.function za funga mwaka etc za kazini hataki kabisa niende,nikilazimisha utamkuta ananuna huyo hata kwa siku tatu na kubaki kulia tu,anadai eti kama nampenda nitamuachaje peke yake ndani.mbaya zaidi mi napenda sana mpira,basi hata kwenda kuangalia mechi ni tatizo.atakwambia huu ni muda wa kupumzika na kuwa karibu yake,nitaendaje kwenye mpira?mpira uwe mchana au usiku ananibana.kazini unaweza kupokea simu zake 3 ndani ya dk 20.wakati mwingine huwa nakaushia afu baadae namwambia nilikuwa bize.



wanamme wenzangu hebu niambieni,hivi hii ni hali ya kawaida kwenye ndoa au yangu imekuwa too much?

cc:akina dada wote mlioolewa na wale mnaotegemea kuolewa.
 
Mkuu huyo mkeo ulimpataje na kabla hamjafunga ndoa ulimueleza maisha yako yalivyo?najua mnapendana ila unahisi nani anampenda zaidi mwaenzake!
 
Mkuu huyo mkeo ulimpataje na kabla hamjafunga ndoa ulimueleza maisha yako yalivyo?najua mnapendana ila unahisi nani anampenda zaidi mwaenzake!

anayajua maisha yangu,nilikuwa niko free sana wakati wa uchumba takribani miaka sita,coz nilisubiri amalize chuo,then akapata ajira.miaka 2 baadae ndo tukafunga ndoa.but baada ya hapo ndo akaanza kunikaba.baada ya kupata ujauzito wake wa kwanza tu akaanza kunikaba
 
tunapendana sana na waifu,tumetoka mbali na tumefanikiwa kupata watoto wawili.lakini waifu ananikaba sana,hataki kabisa niwe natoka,hata function za kazini huwa hataki niende.function za funga mwaka etc za kazini hataki kabisa niende,nikilazimisha utamkuta ananuna huyo hata kwa siku tatu na kubaki kulia tu,anadai eti kama nampenda nitamuachaje peke yake ndani.mbaya zaidi mi napenda sana mpira,basi hata kwenda kuangalia mechi ni tatizo.atakwambia huu ni muda wa kupumzika na kuwa karibu yake,nitaendaje kwenye mpira?mpira uwe mchana au usiku ananibana.kazini unaweza kupokea simu zake 3 ndani ya dk 20.wakati mwingine huwa nakaushia afu baadae namwambia nilikuwa bize.



wanamme wenzangu hebu niambieni,hivi hii ni hali ya kawaida kwenye ndoa au yangu imekuwa too much?

cc:akina dada wote mlioolewa na wale mnaotegemea kuolewa.

anajua kuwa hujatulia, mwache afanye kazi yake ... ndio dawa ya vidume kama wewe! abiria chunga mzigo wako! na badooooooooo!
 
tunapendana sana na waifu,tumetoka mbali na tumefanikiwa kupata watoto wawili.lakini waifu ananikaba sana,hataki kabisa niwe natoka,hata function za kazini huwa hataki niende.function za funga mwaka etc za kazini hataki kabisa niende,nikilazimisha utamkuta ananuna huyo hata kwa siku tatu na kubaki kulia tu,anadai eti kama nampenda nitamuachaje peke yake ndani.mbaya zaidi mi napenda sana mpira,basi hata kwenda kuangalia mechi ni tatizo.atakwambia huu ni muda wa kupumzika na kuwa karibu yake,nitaendaje kwenye mpira?mpira uwe mchana au usiku ananibana.kazini unaweza kupokea simu zake 3 ndani ya dk 20.wakati mwingine huwa nakaushia afu baadae namwambia nilikuwa bize.



wanamme wenzangu hebu niambieni,hivi hii ni hali ya kawaida kwenye ndoa au yangu imekuwa too much?

cc:akina dada wote mlioolewa na wale mnaotegemea kuolewa.

hapo kwenye bold tabia yako ni mbaya kwa nini unamfanyia mwenzako hivyo kama hutaki akupigie simu kila wakati si umwambie ukweli ukweli utabaki palepale awe anapenda au hapendi.

halafu unalalamika kwani mwanzo mlikuwa mnaishi vp maana hadi kuzaa watotot wawili leo ndio unalalamika kama ni kitu kipya utakuwa umeanza tabia mbaya wewe, na inaonesha humpendi mwenzio kama anavyokupenda.

mambo ya kuachiana nafasi ya kutoka yanazungumzika na kufikiana miafaka na makubaliano.
 
anayajua maisha yangu,nilikuwa niko free sana wakati wa uchumba takribani miaka sita,coz nilisubiri amalize chuo,then akapata ajira.miaka 2 baadae ndo tukafunga ndoa.but baada ya hapo ndo akaanza kunikaba.baada ya kupata ujauzito wake wa kwanza tu akaanza kunikaba

Kama kweli wewe uko safi kitabia basi ni suala la kukaa nae chini na kumueleza vitu vya msingi tu,katika maisha kuna moments ambazo lazima utamuacha mkeo/mumeo kwa mda hivyo ni vitu ambavyo haviepukiki so ni suala la kukaa na kuongea nae tu kwa utaratibu wala usipaniki naamini atakuelewa tu she just loves you so much so anakua worry ila hii nikama muenendo wako ni mzuri!
 
anajua kuwa hujatulia, mwache afanye kazi yake ... ndio dawa ya vidume kama wewe! abiria chunga mzigo wako! na badooooooooo!

mbona nimetulia mkuu,mtu mzima akiamua kufanya kitu basi ujue kaamua na sio tamaa
 
wanaume mkipendwa sana mna shida. dawa yenu ni nyinyi kuwapenda wadada ambao hawana time na nyinyi ukimpigia simu anakwambia eheee nitafute usiku saa hizi niko busy anakukatia na simu. ukimletea zawadi unaambiwa loh hiki kizawadi gani cha kuniletea mimi chukua zawadi yako.

lakini yule anayekutafuta wewe kwa mapenzi au wivu wake kwako inakuwa kero. mapenzi bwana kazi kwelikweli.
 
Kama kweli wewe uko safi kitabia basi ni suala la kukaa nae chini na kumueleza vitu vya msingi tu,katika maisha kuna moments ambazo lazima utamuacha mkeo/mumeo kwa mda hivyo ni vitu ambavyo haviepukiki so ni suala la kukaa na kuongea nae tu kwa utaratibu wala usipaniki naamini atakuelewa tu she just loves you so much so anakua worry ila hii nikama muenendo wako ni mzuri!

mkuu nishapiga stori na waifu sana,anakuelewa lakini ukitaka kuondoka anbadilika,sometimez anakuwa mnyonge hadi unamuonea huruma inabidi tu uhairishe safari zako.kuna wakati unalazimisha kwenda ndo hivyo tena.
 
tunapendana sana na waifu,tumetoka mbali na tumefanikiwa kupata watoto wawili.lakini waifu ananikaba sana,hataki kabisa niwe natoka,hata function za kazini huwa hataki niende.function za funga mwaka etc za kazini hataki kabisa niende,nikilazimisha utamkuta ananuna huyo hata kwa siku tatu na kubaki kulia tu,anadai eti kama nampenda nitamuachaje peke yake ndani.mbaya zaidi mi napenda sana mpira,basi hata kwenda kuangalia mechi ni tatizo.atakwambia huu ni muda wa kupumzika na kuwa karibu yake,nitaendaje kwenye mpira?mpira uwe mchana au usiku ananibana.kazini unaweza kupokea simu zake 3 ndani ya dk 20.wakati mwingine huwa nakaushia afu baadae namwambia nilikuwa bize.



wanamme wenzangu hebu niambieni,hivi hii ni hali ya kawaida kwenye ndoa au yangu imekuwa too much?

cc:akina dada wote mlioolewa na wale mnaotegemea kuolewa.

mkuu mambo ya ndoa si vyema sana kuyaleta hapa kwani kila mtu ana mtazamo wake na ushauri wake na si kila ushauri wa kuuchukua. haya tukikwambia muache utamwacha?
kaeni chini myazungumze wenyewe.
 
huyo anakupenda toka moyoni lakini kinacho mtesa ni wivu,zungumza nae taratibu kuhusu wivu wa kijinga....
 
wanaume mkipendwa sana mna shida. dawa yenu ni nyinyi kuwapenda wadada ambao hawana time na nyinyi ukimpigia simu anakwambia eheee nitafute usiku saa hizi niko busy anakukatia na simu. ukimletea zawadi unaambiwa loh hiki kizawadi gani cha kuniletea mimi chukua zawadi yako.

lakini yule anayekutafuta wewe kwa mapenzi au wivu wake kwako inakuwa kero. mapenzi bwana kazi kwelikweli.


iron lady,natambua sana hilo but kuna wakati inabidi aniache ni relax kidogo,mnakaa mnapiga stori mpaka zinakwisha,mwishowe mtu utakosa cha kuongea uanze kuropoka siri za kazini.yaani anacheza ile kitu wajaluo wanaita "ng'ato gi ng'ato" yaani man to man....basi atleast hata kwenye mpira nikiwa na washkaji wangu coz sinywi wala sivuti.hata ungekuwa wewe ungefeel "the heat"
 
huyo atakutawala kama marekani anavyoitawala dunia....na ngoja akutane na shoga anaejua mitaa ampeleke kwa mganga akakupige libwata utulie
 
mkuu mambo ya ndoa si vyema sana kuyaleta hapa kwani kila mtu ana mtazamo wake na ushauri wake na si kila ushauri wa kuuchukua. haya tukikwambia muache utamwacha?
kaeni chini myazungumze wenyewe.

thanx mkuu,natambua sana kuhusu hilo,nimeshaongea nae sana,what am looking for is the best way on how to handle this.have tried all ways possible known to me but have registered failures
 
mkuu nishapiga stori na waifu sana,anakuelewa lakini ukitaka kuondoka anbadilika,sometimez anakuwa mnyonge hadi unamuonea huruma inabidi tu uhairishe safari zako.kuna wakati unalazimisha kwenda ndo hivyo tena.

Duh hapo kazi unayo kaka ni wivu tu huo hakuna kitu kingine,na wivu uliokithiri ni janga lingine!na huaenda ata arsenal vs liverpool kesho ukaikosa pole sana kaka but try to be a man if posible!
 
tunapendana sana na waifu,tumetoka mbali na tumefanikiwa kupata watoto wawili.lakini waifu ananikaba sana,hataki kabisa niwe natoka,hata function za kazini huwa hataki niende.function za funga mwaka etc za kazini hataki kabisa niende,nikilazimisha utamkuta ananuna huyo hata kwa siku tatu na kubaki kulia tu,anadai eti kama nampenda nitamuachaje peke yake ndani.mbaya zaidi mi napenda sana mpira,basi hata kwenda kuangalia mechi ni tatizo.atakwambia huu ni muda wa kupumzika na kuwa karibu yake,nitaendaje kwenye mpira?mpira uwe mchana au usiku ananibana.kazini unaweza kupokea simu zake 3 ndani ya dk 20.wakati mwingine huwa nakaushia afu baadae namwambia nilikuwa bize.



wanamme wenzangu hebu niambieni,hivi hii ni hali ya kawaida kwenye ndoa au yangu imekuwa too much?

cc:akina dada wote mlioolewa na wale mnaotegemea kuolewa.

Japo umetaka wanaume wakupe ushauri naomba kwa heshima ya pekee mimi Mdada nichangie wazo langu nikieleza kinagaubaga kwanini unakabwa na Dadangu.

Bila shaka unatumia TV nyumbani kwako kwa kuangalia taarifa mbali mbali, leo hii bila kuwa na "Ving'amuzi au wengine wanaviita Visimbuzi" huwezi kuona picha nzuri iliyotulia. Kuna ving'amuzi vingi kama vile "Startime, "DigTek", "Continental" Nasikia pia "Azam" nk. Ukiona kati ya hivi kimoja kinapendwa sana ujue picha zake ni "Classic"

Kwa hiyo Kaka kozo okamoto ni hicho KING"AMUZI CHAKO KINAMCHANGANYA DADA YAANI "MAMA KOZO OKAMOTO"
Jambo la pili linalomfanya akukabe sana ni hizi "LUKU" za mitaani nyingi zina "SHORT" sana hataki ukanunue "LUKU FAKE" wakati unayo ORIGINAL.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom