Wahusika wa usalama Chadema mko wapi?

Wahusika wa usalama Chadema mko wapi?

Joined
Dec 21, 2011
Posts
71
Reaction score
75
Tangu kuanza kwa kampeni za nafasi ya ubunge katika jimbo la Arumeru Mashariki nimekuwa nikifuatilia mambo mbalimbali kwa mgombea wa Chadema Joshua Nassar,inaonekana kama vile wanausalama wa Chama wanashindwa kushauri mambo muhimu na ya usalama kwa mgombea wetu.

Niwakumbushe kidogo hapa wajibu wenu licha ya kwamba mimi sijasomea hayo mambo. Tumeona mgombea akiruhusiwa kubebwa juu mara kadhaa, ni kweli hilo jambo jema kwa kuwa wapiga kura wanamkubali sana, hali inayowapatia vichomi chama cha kijani. Naombeni msiruhusu tena hiyo hali kwa kuwa mtu anaweza kujipenyeza kama mshabiki kumbe ni pandikizi na akamfanyia kitu kibaya mgombea wetu.

Pigeni marufuku mara moja hiyo hali na ulinzi wa red guard uongezwe kwa mgombea ni hayo tu.
 
Hivi nini kilitokea jana kwenye kampeni za CDM? Ilikuwa purposely done au vipi manake niliona kwenye TV kama vile kampeni hazikuwa organised jamaa anazunguka zunguka tu mara shuleni mara sokoni bila utaratibu unaoeleweka.
 
Advice noted. Lakini ondoa shaka kuhusu usalama wake.
 
usaLama gani wa mgombea wa chadema kweli ndoto za kufikirika nani atamdhuru si lolote si chochote
 
Kinga ni bora kuliko tiba.
Nimeona pia wakimshika kichwani, ni vizuri lakini tuwe na tahadhari ndugu zangu.
 
Tangu kuanza kwa kampeni za nafasi ya ubunge katika jimbo la Arumeru Mashariki nimekuwa nikifuatilia mambo mbalimbali kwa mgombea wa Chadema Joshua Nassar,inaonekana kama vile wanausalama wa Chama wanashindwa kushauri mambo muhimu na ya usalama kwa mgombea wetu.

Niwakumbushe kidogo hapa wajibu wenu licha ya kwamba mimi sijasomea hayo mambo. Tumeona mgombea akiruhusiwa kubebwa juu mara kadhaa, ni kweli hilo jambo jema kwa kuwa wapiga kura wanamkubali sana, hali inayowapatia vichomi chama cha kijani. Naombeni msiruhusu tena hiyo hali kwa kuwa mtu anaweza kujipenyeza kama mshabiki kumbe ni pandikizi na akamfanyia kitu kibaya mgombea wetu.

Pigeni marufuku mara moja hiyo hali na ulinzi wa red guard uongezwe kwa mgombea ni hayo tu.

Watu walishudia Gari la Mrema likisukumwa toka DIA hadi makao ya ya NCCR-MAGEUZI kwa wakati huo, lakini aliishia kunawa mkuu. Huyu NASSARI ameshaonesha ni LEMA type akili zake si za Maendeleo kwa Wana-Arumeru subirini muone atakavyoangukia pua. Huwezi kutafuta umaarufu kwa kubebwa. Sera kwanza kwa wananchi. Nasikia kuna kundi maalumu limeandaliwa kwa ajili ya kuhamasisha abebwe, abebwe , abebwe. Sio kusudio la wananachi.
 
Hivi nini kilitokea jana kwenye kampeni za CDM? Ilikuwa purposely done au vipi manake niliona kwenye TV kama vile kampeni hazikuwa organised jamaa anazunguka zunguka tu mara shuleni mara sokoni bila utaratibu unaoeleweka.

Waliwapngia makusudi maeneo ya shuleni, hivyo haikuwa rahisi kuendesha mkutano wakati wanafunzi wakifundishwa darasani. CCM wana mbinu nyingi.
 
usaLama gani wa mgombea wa chadema kweli ndoto za kufikirika nani atamdhuru si lolote si chochote

magamba hamueleweki ninyi,mnaweza mkamwakyembee mgombea wetu,na tena hatuwapendi sana na tena subirini tu!
 
Watu walishudia Gari la Mrema likisukumwa toka DIA hadi makao ya ya NCCR-MAGEUZI kwa wakati huo, lakini aliishia kunawa mkuu. Huyu NASSARI ameshaonesha ni LEMA type akili zake si za Maendeleo kwa Wana-Arumeru subirini muone atakavyoangukia pua. Huwezi kutafuta umaarufu kwa kubebwa. Sera kwanza kwa wananchi. Nasikia kuna kundi maalumu limeandaliwa kwa ajili ya kuhamasisha abebwe, abebwe , abebwe. Sio kusudio la wananachi.

tatzo la ugonjwa wa mawazo mgando katika tz bado ni sugu,yataka moyo kuwa na watu wa jamii hii katika jamii,sisi m hamna chenu katka karne hii,mshajichokea wenyewee zamaan!,kwa sasa mnapumulia mipira.
 
Hivi nini kilitokea jana kwenye kampeni za CDM? Ilikuwa purposely done au vipi manake niliona kwenye TV kama vile kampeni hazikuwa organised jamaa anazunguka zunguka tu mara shuleni mara sokoni bila utaratibu unaoeleweka.
Jana Chadema ilikosa watu katika mikutano yake ndio ikamulazimu Mgombea wao kujipitisha pitisha katika masoko, shuleni na misibani hakika upepo kwao unaweendea vibaya sana
 
Dawa yao imeshaiva bado kuwanywesha tu .....easubiri kidogo
magamba hamueleweki ninyi,mnaweza mkamwakyembee mgombea wetu,na tena hatuwapendi sana na tena subirini tu!
 
Hivi nini kilitokea jana kwenye kampeni za CDM? Ilikuwa purposely done au vipi manake niliona kwenye TV kama vile kampeni hazikuwa organised jamaa anazunguka zunguka tu mara shuleni mara sokoni bila utaratibu unaoeleweka.
Ulitegemea uone organization nzima ya kampeni kwenye TV, sitegemei kuwa hii ni akili yako au unauliza kwa niaba ya kina ritz na Rejao.
 
Back
Top Bottom