Wahuni walimpachika 'Rais Urais ', wamemficha, na wao ndio wanaendesha Nchi !!Huu Utekaji na Mauaji ya Raia mmoja Mmoja yanayoendelea umekithiri

Wahuni walimpachika 'Rais Urais ', wamemficha, na wao ndio wanaendesha Nchi !!Huu Utekaji na Mauaji ya Raia mmoja Mmoja yanayoendelea umekithiri

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
28,749
Reaction score
91,814
Kwa Huu Utekaji na Mauaji yanayoendelea Nchini .

Lazima utakubaliana namm kwamba, Mauaji ya Raia Okt 29, yalikua yamepangwa tu yaan ilikua lazima Samia apachikwe Urais.

Akina nani hawa walioko nyuma ya huo Mpango?.

H POLEPOLE Alitutajia Wahuni, ambao Kwa Sasa Mkono wao wa Rushwa umetafuta Majeshi yetu yote.

Sasa wamemficha Samia, ni Kumpa taarifa za Uongo tu, Mama Nchi imechafuka, Tulia kwanza, Tulia tukusafishie Nchi, Tulia Kwanzaa, ili ulitaka kutoka ukute pako shwari.

Hili linathibtishwa NA HARAKATI ZA UTEKAJI NA MAUJI ZINAZOENDELEA.

Kuna Utekaji Mkubwa na Mauaji ya Raia mmoja Mmoja yanayoendelea Nchini kiasi ambacho Hata kabla ya Okt 29 , haikuwahi kushuhudiwa!!
 
MIKUTANO YA CCM ILIKUWA INAJAA MPAKA POMONI , HII ILIKUWA DALILI YA WAZI KUWA , MAMA WA AFRICA KAMA ANAVYOJULIKANA HUKO DUNIANI DR SAMIA SULUHU HASSAN ANAKUBALIKA SANA
mama wa mafichoni!
 
ACHENI KUICHAFUA SERIKALI TUKUFU. MGAWANYO WA VYEO HAMVIJUI ? NANI RAISI ? NANI MAKAMU ? NANI WAZIRI MKUU ? NA WENGINEO ? MAMA SAMIA WEWE NI JEMBE NA HISTORIA HAIWEZI KUKUSAHAU KAMWE KWA KUWEKA MSIMAMO NA KUCHORA MSTARI WA NIDHAMU MAPEMA . SASA UNAONA KABISA WACHAWI WAKO WANAVYOKUMISS , HAWANA JIPYA , HAWANA SERA, VIONGOZI ULIOTUCHAGULIA WANAPIGA KAZI. MIPASHO IMEBAKI KWENU WACHAWI. CCM OYEEE , CCM FOREVER
 
Gwajima aliwaambia mapema lkn hamkumsikiliza,,, kushinda ni Jambo rahisi ila kuwaongoza sasa
 
NAona CD yenu ya kuwa 'amefariki' haiuzi tena ee na Sasa mmeamua kuja na huu upuuzi mwingine?!! Serikali ya Sasa ni ya kisayansi mno, mburura huwezi kuelewa lakini ni serikali itakayoleta mafanikio kuliko zote zilizopita.........sihitaji kubishana na watoto wadogo, hao nawashauri wasubirie muda tu utakavyoongea.
 
MIKUTANO YA CCM ILIKUWA INAJAA MPAKA POMONI , HII ILIKUWA DALILI YA WAZI KUWA , MAMA WA AFRICA KAMA ANAVYOJULIKANA HUKO DUNIANI DR SAMIA SULUHU HASSAN ANAKUBALIKA SANA
Kina Heche na Lissu wanadhani kauli mbiu za humu jukwaani zinaweza kuwatisha mamilioni ya wapenda haki huko mitaani.

Hao vibaka walioleta fujo tarehe 29 October wajue tu kwamba kuna raia wema wanawatamani sana waandamane ili wawafundishe adabu.
 
NAona CD yenu ya kuwa 'amefariki' haiuzi tena ee na Sasa mmeamua kuja na huu upuuzi mwingine?!! Serikali ya Sasa ni ya kisayansi mno, mburura huwezi kuelewa lakini ni serikali itakayoleta mafanikio kuliko zote zilizopita.........sihitaji kubishana na watoto wadogo, hao nawashauri wasubirie muda tu utakavyoongea.
Serikali ya bei ya jioni haikuchaguliwa na wananchi ni serikali haramu , pamoja na kupewa ushindi na tume imejificha ndani haitaki kuonanana na wapiga kura wake milioni 31 .
 
Serikali ya bei ya jioni haikuchaguliwa na wananchi ni serikali haramu , pamoja na kupewa ushindi na tume imejificha ndani haitaki kuonanana na wapiga kura wake milioni 31 .
Mwisho wa mwaka huu watu wanakula bata, muda wa kupumzika, ngoja ifike January utaona kazi ikiendelea kama kawaida.

Nadhani unamuona PM Mwigulu akiendelea na kazi kama kawaida.
 
Serikali ya bei ya jioni haikuchaguliwa na wananchi ni serikali haramu , pamoja na kupewa ushindi na tume imejificha ndani haitaki kuonanana na wapiga kura wake milioni 31 .
Mtoto mdogo ataongea nini tena zaidi ya pumba kama hiyo?!!
 
Dah zile range zake mpya za kifahari zitakuwa zinapigwa tu na vumbi. Dreamliner nayo haitumiki! Kuna watu mpaka muda huu watakuwa wanalia tu njaa kwa sababu ya kupungua kwa safari za nje.
 
Ukweli ambao watz: Samia na genge lake amekuwa na nguvu Hata Jk na msoga genge hawamfiki.Samia + police na jeshi LA Zanzibar+ UAE ,Oman,Arabs+ Mseven+ Jk hamuwez Samia ni dictator ni zaidi ya shetani anawachukia sana wa Tanganyika
 
Ukweli ambao watz: Samia na genge lake amekuwa na nguvu Hata Jk na msoga genge hawamfiki.Samia + police na jeshi LA Zanzibar+ UAE ,Oman,Arabs+ Mseven+ Jk hamuwez Samia ni dictator ni zaidi ya shetani anawachukia sana wa Tanganyika
 
Kwa Huu Utekaji na Mauaji yanayoendelea Nchini .

Lazima utakubaliana namm kwamba, Mauaji ya Raia Okt 29, yalikua yamepangwa tu yaan ilikua lazima Samia apachikwe Urais.

Akina nani hawa walioko nyuma ya huo Mpango?.

H POLEPOLE Alitutajia Wahuni, ambao Kwa Sasa Mkono wao wa Rushwa umetafuta Majeshi yetu yote.

Sasa wamemficha Samia, ni Kumpa taarifa za Uongo tu, Mama Nchi imechafuka, Tulia kwanza, Tulia tukusafishie Nchi, Tulia Kwanzaa, ili ulitaka kutoka ukute pako shwari.

Hili linathibtishwa NA HARAKATI ZA UTEKAJI NA MAUJI ZINAZOENDELEA.

Kuna Utekaji Mkubwa na Mauaji ya Raia mmoja Mmoja yanayoendelea Nchini kiasi ambacho Hata kabla ya Okt 29 , haikuwahi kushuhudiwa!!
Watamtoa siku ile inayoitwa Tume huru ya Jaji Chande itakapokwenda kumkabidhi ripoti ya kubumba ya kuifuta CHADEMA halafu ndipo ataikuta na hotuba roporopo aliyoandikiwa na yeye bila hata kutumia akili ataisoma huku ameshika kiuno na kumwaga shobo na taarabu za kizenji....

Na ndipo hapo atakapomwaga mapima ya petrol katika moto wa SAMIA MUST GO bila yeye kujua...
 
Back
Top Bottom