Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
yapo mambo mengi yanayosababisha huduma katika vituo vya afya vya serikali kuzorota.lakini moja ambalo ni muhimu ni maslahi duni yasiyoakisi gharama za maisha.
Sasa hivi wahudumu wa afya hawachukui rushwa tena badala yake hujibebesha mapochi makubwa yaliyojaa pamba,gloves,dawa,mabomba ya sindano,pedi za kinamama,vinguo na pampers za watoto.haya yote ni mahitaji muhimu ya wanaofika hospitali ambayo mara nyingi hayapatikani kwenye hospitali zetu kwa sababu ya ukiritimba na ukosefu wa uwajibikaji.
Hawa ndo wahudumu wa afya waliojitolea kuwahudumia watanzania hata inapobidi kufanya kazi za kijasiliamali katika maeneo yao ya kazi.
Sasa hivi wahudumu wa afya hawachukui rushwa tena badala yake hujibebesha mapochi makubwa yaliyojaa pamba,gloves,dawa,mabomba ya sindano,pedi za kinamama,vinguo na pampers za watoto.haya yote ni mahitaji muhimu ya wanaofika hospitali ambayo mara nyingi hayapatikani kwenye hospitali zetu kwa sababu ya ukiritimba na ukosefu wa uwajibikaji.
Hawa ndo wahudumu wa afya waliojitolea kuwahudumia watanzania hata inapobidi kufanya kazi za kijasiliamali katika maeneo yao ya kazi.