a sinner saved by Christ
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 3,341
- 3,822
- Thread starter
- #21
Kiroho na ufunuo wa unabii wa siku za mwisho...
ndiyo hiyo hatua kuelekea digital currency na digital card ,cashless cardless every single detail and identity will be intergrated in a single small microchip which will be implanted into your body hamd or fore head ,hiyo ndiyo inaitwa CHAPA YA MNYAMA 666
UNYAKUO WA WATAKATIFU UTATOKEA any time from now even now this year between year 2026-2030
before 2030..unyakuo wa watakatifu utatokea..
machafuko ya dunia yataendelea na hali ya dunia na taifa itazidi kuwa mbaya day by day..
dhiki kuu inakuja..
watu wa Mungu hizi ni nyakati za mwisho..hayo mavita mnayoyaona huko yanakuja na hapa ...hayo machafuko yanakuja na hapa ulipo..hayako mbali...athari zake zitakufukia.
Hayo ma teknolojia na utandawazi na ELIMU na pesa ..ma AI hayapo kwa ajili ya kumsaidia mwanadamu ila lengo kuuu ni la kumtawala mwanadamu..kuitawala dunian.
tunafurahia AI tools na maroboti hayo yapo kww ajili ya kuitawala dunia sio kumsaidia mwanadamu
ndiyo hiyo hatua kuelekea digital currency na digital card ,cashless cardless every single detail and identity will be intergrated in a single small microchip which will be implanted into your body hamd or fore head ,hiyo ndiyo inaitwa CHAPA YA MNYAMA 666
UNYAKUO WA WATAKATIFU UTATOKEA any time from now even now this year between year 2026-2030
before 2030..unyakuo wa watakatifu utatokea..
machafuko ya dunia yataendelea na hali ya dunia na taifa itazidi kuwa mbaya day by day..
dhiki kuu inakuja..
watu wa Mungu hizi ni nyakati za mwisho..hayo mavita mnayoyaona huko yanakuja na hapa ...hayo machafuko yanakuja na hapa ulipo..hayako mbali...athari zake zitakufukia.
Hayo ma teknolojia na utandawazi na ELIMU na pesa ..ma AI hayapo kwa ajili ya kumsaidia mwanadamu ila lengo kuuu ni la kumtawala mwanadamu..kuitawala dunian.
tunafurahia AI tools na maroboti hayo yapo kww ajili ya kuitawala dunia sio kumsaidia mwanadamu