Wahubiri bandia watapeli watu Ghana

Wahubiri bandia watapeli watu Ghana

Status
Not open for further replies.

kasinge

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2011
Posts
1,259
Reaction score
319
150503154426_greece_church_640x360_thinkstock_nocredit.jpg

Huko Afrika magharibi Ghana inakisiwa kuwa na makanisa zaidi ya elfu sitini.Unaweza kufikiri kuwa hili ni jambo jema katika kuilea nchi hiyo kimaadili.


Lakini Polisi wanafikiri vingine na kuwaonya wananchi wa Ghana kuwa makini na baadhi ya wachungaji ambao wamedaiwa kujihusisha na vitendo vya utapeli na udanganyifu.

Mmoja wa wabunge anasema watu wengi wanaojiita manabii wa Mungu wakijivisha ngozi za kondoo wanawaibia maskini. Mwandishi wa BBC kutoka Accra, Ghana, Sammy Darko inasimuliwa na Mariam Dodo Abdallah:


CHANZO: BBC Swahili
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom