Yesu aliua wapi kaka? Nimewasoma vizuri sana hao manabii 2 bro. Hapo unaposema Musa alimtia ngumi mtu akafa, huo wakati alikua hata hajaitwa kumtumikia Mungu wake, hakujua kabisa kama angekuja kua nabii mkubwa baadae, alikua hatetei DINI pale, alikua akiwatetea ndugu zake Waisrael dhidi ya uonezi ulioneshwa na Mmisri yule. Remember Musa alikua anajulikana kama mwana wa mfalme pale Misri, yeye alikua anajijua kama mu Israel (leo unaweza kusema Myahudi ) au mu Ebrania.
Vita alivyo vifanya Musa, alikua kama mfalme, yaani kama leo rais wa nchi bila kujali ni muumini wa dini ipi, linapo kuja suala la taifa lako, lazima ulitetee, lazima uamuru majeshi kwenda vitani kupigana, ndicho anacho kifanya Netanyahu, ndicho alicho kifanya Nyerere kwa Idd Amini nk. Lakini nyie mnaamuaga tu, paap mnakiwasha, sometimes hata hakuna sababu; nyie mnaua tu. Hivi mfano, wale magaidi wa KIBITI, Nigeria, Msumbiji, Somalia nk, wanapigania DINI ipi wakati hawajapingwa na yoyote?