Wameshusha hivyo viwango vya kuingia chuo kwa diploma tumeshukuru lakin sasa swala la mkopo likoje hapa watatoa nafas tena watu wa diploma wajaze mkopo, afu wamepunguza viwango wakat wale waliokua na viwango mwanzon had sasa majibu hawajapata afu wamesema mwisho tarehe 23 wakat je hao watakao kosa watapewa tena muda wakurudia kuapply tena kwa mara nyingine na ni lin