Naisoma360
JF-Expert Member
- Jan 23, 2015
- 820
- 491
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watatoa utaratibuWameshusha hivyo viwango vya kuingia chuo kwa diploma tumeshukuru lakin sasa swala la mkopo likoje hapa watatoa nafas tena watu wa diploma wajaze mkopo, afu wamepunguza viwango wakat wale waliokua na viwango mwanzon had sasa majibu hawajapata afu wamesema mwisho tarehe 23 wakat je hao watakao kosa watapewa tena muda wakurudia kuapply tena kwa mara nyingine na ni lin
factHao Wanaohofia GPA kufanywa 3.0 badala ya 3.5 wanafahamu lakini Nini Maana Ya GPA??
Je Wamewahi Kupita Angalau Chuoni?? Manake Siamini Kama Kuna Msomi Anaeweza Sema GPA ya 3.0 eti inashusha Elimu! Ridiculous....
Wamejitokeza Baada Ya Kushushwa Kutoka 3.5 mpaka 3.0! Mbona Hapo Mwanzo ilipokuwa 2.7 hawakuwahi Kulalamika Kuwa iongezwe???
Hii Ni "Conspiracy Theory" Ya Wazi Kabisa Manake Sijui Mijitu inawaza Nini??
hivi prof yunus mgaya hakufanya haya madudu......... iweje uyu wa necta prof mwageni kuleta vigezo ambavyo havitambuliki dunia nzima wanajua principal nI E-2.......'WHEN THE SOLUTION IS SIMPLE,GOD IS ANSWERING"..............Kweli kabisa King Ngwaba sijui mijitu inawaza nini.