Sasa hapo inabidi kabla ya kuwatupia lawama uanze kwa kuuliza, je elimu inayotolewa ina shida gani.. haiwezekani asilimia 90% wawe mizigo kutakuwa kuna shida kwenye elimu yetu.Wahitimu wapo uko China, Japan, S/Korea na kwingineko, Wahitimu wa hizo nchi wanamsaada katika mataifa yao. Wahitimu wa Tanzania ni mzigo kuanzia ngazi ya familia hadi taifa, hawajawai kuwa na msaada wowote katika taifa.
ili kuwapa akili serikali ianzishe utaratibu wa kuwa dai Wahitimu ajira.
umehitimu leo, baada ya miaka 3 tuonyeshe umezalisha ajira ngapi mtaani kwako. hata kama huna mtaji etc utajua mwenyewe, maarifa ya vyuoni ndiyo iwe mtaji kwako si kukimbilia siasa uchwala na kujiita mzalendo ili upate teuzi.
ikiwa utashindwa zalisha ajira hata kwa vijana wa wili upewe kosa la Uhaini.
kwani, wao wahitimu wenyewe walishawai sema nini juu ya Elimu wanayolishwa vyuoni? ikiwa wapo kimya ni ishara tosha kuwa wameridhia kile wanalishwa vyuoni.Sasa hapo inabidi kabla ya kuwatupia lawama uanze kwa kuuliza, je elimu inayotolewa ina shida gani.. haiwezekani asilimia 90% wawe mizigo kutakuwa kuna shida kwenye elimu yetu.
Kwa kipi hicho cha maana walichonacho hadi walipwe pesa.WAKUU,
WASALAAM
serikali yetu kwa sasa inavuna pesa nyingi,
mfano Tozo kwenye miamala ya fedhaa tuchukulie makato ya 800 zaman saiz ni 1350: serikali inachukua kama 500+ hivi........
Tanzania ina watu wanaokadiriwa kwa wastani 21000000+wanaofanya miamala kwa siku
(500×21000000=10500000000) kwa makadirio ya chini.....
na umeme inakata 18000 kwa mwaka kwa kila mwenye umeme
tuchukulie wenye umeme ni nusu ya watanzania wote (30, 000000×18000=540000000000) hii ni nje ya unit za umeme, kwa makadirio ya chini.....
na kodi zingine zipo palepale kama zaman....
nyingine tunakopa mala kwa mala..........
ngoja nirudi kwenye mada yangu !!!
serikali itengeneze utaratibu wa kuwalipa wahitimu ata 2k per month ata kwa miaka miwili baada ya kuhitimu , badala ya kuwadai tena wakati wengi ni jobless au wanafanya kazi zenye kipato duni sana.....
ukiwalipa 200000 per month ndani ya miaka ata miwili ipewe jina ACTIVATION SALARY FOR GRADUATES .......
ile pesa ya asilimia 4% ya maendeleo ya vijana halmashauri iondolewe kwan inakosa uhalisia wa maendeleo kwa vijanaa...........
hakna mradi unaoweza kufanikiwa kwa kuwapa vijana 2000000 alafu wako 15+.....
hii programmes ilishafail maeneo mengi, zaid sana ndo zile zinazunguka kwa ndugu na jamaa ndani ya wafanyakazi wa halmashaur badala ya wahusika ambao ni vijana watanzania wote.....
vijana waliohitimu wakipewa 2k per month activation wage, itawezesha kujiajiri katika fani mbalimbali kama ufundi, kilimo, uvuvu n.k........
baada ya hapo wataweza kulipa kodi maradufu na kuiletea nchi maendleooo zaidi.....
na tutaokoa nguvu kazi muhimu kwa USTAWI wa Taifa LETU.. ....
kuendeleo kuwepo kwa kundi hili kubwa na muhimu la vijana bila kazi mtaan na likilalamika kama tunavyoshuhudia katika maeneo tofaut tofaut ni hatari kwa ustawi wa Taifa letu pendwa la TANZANIA............
ukiliwezesha hili , na ukasema CCM HOYEEEEEE.....LITAITIKIA KWA NGUVU ZAIDI KULIKO HALI ILIVO SASA.
AHSANTEE, ongezean mengine...........
We have a long way to go...kwani, wao wahitimu wenyewe walishawai sema nini juu ya Elimu wanayolishwa vyuoni? ikiwa wapo kimya ni ishara tosha kuwa wameridhia kile wanalishwa vyuoni.
ikiwa wapo vyuoni kumeza ma-concept tu na kufurahia pesa ya boom ilhali wanajua wanachofundishwa hakina faida mtaani serikali ikianzish a utaratibu wa kuwaburuza wahitimu mahakamani akili zitawakaa,wao wenyewe wataikataa elimu wanayopewa.
ukiona mutimu wa mbele yako kapelekwa mahakamani na serikali ni lazima ukihitimu utakuwa na Plan si kulialia mtaani.
and then no body can make it shorter because our graduaters are so dumbest people in our country.We have a long way to go...
Unajua 2k ni kiasi gani?WAKUU,
WASALAAM
serikali yetu kwa sasa inavuna pesa nyingi,
mfano Tozo kwenye miamala ya fedhaa tuchukulie makato ya 800 zaman saiz ni 1350: serikali inachukua kama 500+ hivi........
Tanzania ina watu wanaokadiriwa kwa wastani 21000000+wanaofanya miamala kwa siku
(500×21000000=10500000000) kwa makadirio ya chini.....
na umeme inakata 18000 kwa mwaka kwa kila mwenye umeme
tuchukulie wenye umeme ni nusu ya watanzania wote (30, 000000×18000=540000000000) hii ni nje ya unit za umeme, kwa makadirio ya chini.....
na kodi zingine zipo palepale kama zaman....
nyingine tunakopa mala kwa mala..........
ngoja nirudi kwenye mada yangu !!!
serikali itengeneze utaratibu wa kuwalipa wahitimu ata 2k per month ata kwa miaka miwili baada ya kuhitimu , badala ya kuwadai tena wakati wengi ni jobless au wanafanya kazi zenye kipato duni sana.....
ukiwalipa 200000 per month ndani ya miaka ata miwili ipewe jina ACTIVATION SALARY FOR GRADUATES .......
ile pesa ya asilimia 4% ya maendeleo ya vijana halmashauri iondolewe kwan inakosa uhalisia wa maendeleo kwa vijanaa...........
hakna mradi unaoweza kufanikiwa kwa kuwapa vijana 2000000 alafu wako 15+.....
hii programmes ilishafail maeneo mengi, zaid sana ndo zile zinazunguka kwa ndugu na jamaa ndani ya wafanyakazi wa halmashaur badala ya wahusika ambao ni vijana watanzania wote.....
vijana waliohitimu wakipewa 2k per month activation wage, itawezesha kujiajiri katika fani mbalimbali kama ufundi, kilimo, uvuvu n.k........
baada ya hapo wataweza kulipa kodi maradufu na kuiletea nchi maendleooo zaidi.....
na tutaokoa nguvu kazi muhimu kwa USTAWI wa Taifa LETU.. ....
kuendeleo kuwepo kwa kundi hili kubwa na muhimu la vijana bila kazi mtaan na likilalamika kama tunavyoshuhudia katika maeneo tofaut tofaut ni hatari kwa ustawi wa Taifa letu pendwa la TANZANIA............
ukiliwezesha hili , na ukasema CCM HOYEEEEEE.....LITAITIKIA KWA NGUVU ZAIDI KULIKO HALI ILIVO SASA.
AHSANTEE, ongezean mengine...........
Naam; Kweli wakijenga hoja, hiyo kitu inaweza kuwa suluhisho. Shida ninayoiona hapo ni Mentality yao "mimi niwe juu zaidi" na mkuu umetoa mfano mzuri wa kununua simu kali as if hizi za vitochi (45-55,000/=) hazinaga "halow" , laptops za kujiinamia as if anafanya a very serious issue kumbe anaangalia porn.com. Wahitimu wa sasa wana vituko kweli-kweli. Samahani lakini sio wote ila ni wengi. WASIPEWE fedha za bure kwani hata hizo za Halmashauri wameshindwa kufanya lobying kuzipata. Wakipewa fedha za bure wataharibika zaidi.Siungi mkono hoja! Mkilipwa mtatusumbua sana mtaani. Maana mkilipwa hizo hela, mtashindana tu kununua simu kali, laptop kwa ajili ya kuangalia muvi! Na kumiliki mageto makali ya kugongea wanafunzi!
Ni vizuri mkaishauri serikali iwakopeshe fedha kwa riba nafuu, na hivyo kuanzisha miradi ya vikundi. Naamini kupitia hiyo miradi, mtaweza kujiajiri na pia kujitegemea. Ila siyo kupewa fedha za bure.
And maybe we will reach the destination but very exhausted, angry, hungry and none to sympathize on us.We have a long way to go...