Mifugo, naomba update ya nafasi if anyHUJAAMUA KUJISHUGHULISHA......UNALALAMIKA
TAJA KADA YAKO NIKUONESHE NAFASI YA KAZI.....MUDA HUHUU
Mifugo, naomba update ya nafasi if anyHUJAAMUA KUJISHUGHULISHA......UNALALAMIKA
TAJA KADA YAKO NIKUONESHE NAFASI YA KAZI.....MUDA HUHUU
Nimedownload na kuweka details tayari, Ila sijajua napostije hizo ajira make sizion, msaadaWakati tukiendelea kuwapa KURA watu waweze kushinda....
Usisahau na wewe pia una nafasi ya kuwa mshindi, hata nje ya FURSA hii....
(Infinix, Oppo, Samsung, TECNO) Download & install, Ni rahisi sana kupitia link hii....
unaweza Kujipatia michongo, na Fursa nyingi tu...
HUWEKEZI CHOCHOTE
Hii sio ONLINE MARKETING
USIMTUMIE MTU YEYOTE HELA YAKO
EPUKA MATAPELI
HUDUMA NI BURE
Download app hiyo, jisajili kawaida (iko kwa kiswahili) ukikwama nipo hapa kusaidia hii fursa tuitumie Wote hasa sisi vijana
UKIPUUZA SAWA, UKICHUKUA SAWA,
HULAZIMISHWI KUPATA PESA NI MAAMUZI YAKO
Waambie Sasa hizo sites na wao wazijue.....usibaki kimya.HUNA TOFAUTI KUBWA NA MIMI
MIMI INTERVIEW NAZIKIMBIA MWENYEWE ....MWEZI UJAO KUNA MAKAMPUNI YA MAFUTA NA GESI NAHITAJIKA KWA INTERVIEW ,NA HAPA NIPO KAZIN MZUNGU ANANIANDAA KUSHIKA NAFAS YA JUU KWA UPILI....
Rafiki zangu wao kulalanika tu, hata SITES za kutafutia ajira hawazijui
Mtoa mada yuko sahihi sana.Mtoa post badala ya kushukuru Mungu kwa kumjalia aona wenzie vilaza...
Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app
Waihitimu wengi ukiachia mbali ukosefu wa elimu ya tehama ambao umechangia kwa kiasi kikubwa kutoweza kufungua website zilitojwa hapo juu kwa ajili ya kazi na fursa tofauti.Mtoa mada yuko sahihi sana.
Ameeleza vizuri kwamba kuna kundi la vijana wavivu na wanalalamika bila juhudi na ni wepesi kukata tamaa.
Kumuingiza Mungu kama kichaka cha kuficha uzembe si sahihi
Mleta uzi hajasema watu wote wasio na ajira ni wazembe wala hajasema watu wote wenye shahada wanaweza kuajiriwa
Huko ni kupotosha makusudi, kila mmoja anafahamu