lEO ni takriban miaka miwili,vijana waliohitimu vyuo vya kilimo na mifugo wanasota mitaani na diploma zao-hivi ni kweli tunao wataalamu wa kutosha katika sekta hiyo hadi kuachia hiyo nguvu kazi ikizurula mtaani?serikali yetu kila siku inalia ukosefu wa wataalamu vijijini.