Wahispaniola watua kuinoa Azam FC , Stewart Hall bye bye

brave one

JF-Expert Member
Feb 5, 2013
4,879
7,386
MAKOCHA wawili kutoka klabu ya
Deportivo Tenerife ya Hispania
wamewasili jioni ya leo kwa ajili ya
kuja kufanya mazungumzo ya kusaini
Mkataba wa kufundisha Azam FC.
Makocha hao Jonas Garcia Luis na
Zebensul Hernandez Rodriguez
wamewasili Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA),
Dar es Salaam Saa 10:00 jioni kwa
ndege ya Emirates na kupokewa na
Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Saad
Kawemba.
Mara baada ya kuwasili JNIA,
makocha hao walisema kwamba
wanatarajia kupata mwongozo wote
kutoka wenyeji wao na wasingeweza
kuzungumza mambo mengi.
Kawemba alisema kwamba wawili hao
wamekuja kwa mazungumzo ambayo
kama yatakwenda vizuri wataajiriwa
kwa ajili ya kufundisha timu kuanzia
msimu ujao.
Mtihani mkubwa utakuwa lugha ya kufundishia huku spanish kule kiswahili
1463173253542.jpg
1463173263047.jpg
1463173269990.jpg
 
Soka ya TZ ina wenyewe waajili hao wazungu watachapwa tu hata na wapiga debe wa stendi shinyanga
 
Nchi tatu wanatoa makocha wazuri Argentina,Spain na Germany...hivyo Azam wamepata bahati kubwa hongera yao
 
Nchi tatu wanatoa makocha wazuri Argentina,Spain na Germany...hivyo Azam wamepata bahati kubwa hongera yao
Vipi kuhusu Wataliano,makocha ambao wanalifahamu soka la Africa wanatoka France,Serbia na nchi nyingine za Ulaya Mashariki
 
Stewart amesema hana uwezo zaidi wa kuifikisha Azam fc zaidi ya hapo ilipo
Ni jibu zuri kwa mtu anae itakia mema club...Hata hivyo alikuwa na mkataba wa J.k pale kidongo chekundu,chini ya kampuni ya SYMBION (JK YOUTH PARK)..STEWART AMEFICHUA MAOVU MENGI PALE T.F.F NA NDIYO MAANA ILE TAIFA STARS MABORESHO HAIKU YIELD FRUITS BAADA YA KUMTOA.

ELIMU ELIMU ELIMU KISHA IFATE HAPA MBOMBO TU!!!

AZAM WANA MIPANGO CHANYA SANA,JAPOKUWA C.V ZA MAKOCHA HAO WAPYA SIJAZIONA,NAAMINI WAKIKUTANA NA"ANNUAL TRAINING PHASE"YA STEWART,WATAJUA KWA KIASI GANI KAZI YAO ILIPO COZ MFUMO,MBINU,NA STADI KUELEKEA MALENGO ZIKO WAZI.

NINA DECLARE INTEREST YANGU(MSHABIKI WA SIMBA)-TIMU YANGU MIAKA YA KARIBUNI ILI KURUPUKA SANA,..UWEKEZAJI WA AZAMA HATU UWEZI NA HATA HAO YANGA,WALIFAIDIKA NA UJIO WA KATIBU MKUU(JONAS TIBOROHA-PHD UDSM LECTURER-PHYSICAL EDUCATION AND SPORT SCIENCES,NIDHAMU YA MAPATO,PLAYERS MANAGEMENT,NA MISIMAMO YA KISASA YA USAJILI.

KOCHA HANS VAN PLUJIN AMEACHWA AFANYE USAJILI,APANGE KIKOSI NA NI EXTRINSIC MOTIVATOR MZURI.

AZAM INAWEZA KUJA KUWA TIMU YA KWANZA TANZANIA KUBEBA KOMBE LA CONFEDERATION OF AFRICA CHAMPIONSHIP.

BIG UP WATANI ZANGU,ILA MSITUITE CHURA INAKERA SANA...."
 
Ni jibu zuri kwa mtu anae itakia mema club...Hata hivyo alikuwa na mkataba wa J.k pale kidongo chekundu,chini ya kampuni ya SYMBION (JK YOUTH PARK)..STEWART AMEFICHUA MAOVU MENGI PALE T.F.F NA NDIYO MAANA ILE TAIFA STARS MABORESHO HAIKU YIELD FRUITS BAADA YA KUMTOA.

ELIMU ELIMU ELIMU KISHA IFATE HAPA MBOMBO TU!!!

AZAM WANA MIPANGO CHANYA SANA,JAPOKUWA C.V ZA MAKOCHA HAO WAPYA SIJAZIONA,NAAMINI WAKIKUTANA NA"ANNUAL TRAINING PHASE"YA STEWART,WATAJUA KWA KIASI GANI KAZI YAO ILIPO COZ MFUMO,MBINU,NA STADI KUELEKEA MALENGO ZIKO WAZI.

NINA DECLARE INTEREST YANGU(MSHABIKI WA SIMBA)-TIMU YANGU MIAKA YA KARIBUNI ILI KURUPUKA SANA,..UWEKEZAJI WA AZAMA HATU UWEZI NA HATA HAO YANGA,WALIFAIDIKA NA UJIO WA KATIBU MKUU(JONAS TIBOROHA-PHD UDSM LECTURER-PHYSICAL EDUCATION AND SPORT SCIENCES,NIDHAMU YA MAPATO,PLAYERS MANAGEMENT,NA MISIMAMO YA KISASA YA USAJILI.

KOCHA HANS VAN PLUJIN AMEACHWA AFANYE USAJILI,APANGE KIKOSI NA NI EXTRINSIC MOTIVATOR MZURI.

AZAM INAWEZA KUJA KUWA TIMU YA KWANZA TANZANIA KUBEBA KOMBE LA CONFEDERATION OF AFRICA CHAMPIONSHIP.

BIG UP WATANI ZANGU,ILA MSITUITE CHURA INAKERA SANA...."

Mi naona tatizo la Azam fc ni wachezaji ndo hawana viwango vya kuchezea timu hiyo , yaani jina la timu Kubwa kuliko wachezaji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom