habari wadau.
nimekuja india kikazi. nimeona wahindi wanajua sana kuongea kiingereza.. hata wa mtaani.. anaongea english nzuri japo wana mother tongue yao..
lugha yao ya taifa sio english ni kihindi... ila wanajua sana english..
nawaza tu why not Tanzania...
hata ambao tumeenda shule wengi wetu hatuwezi kuongea english iliyonyooka hata kwa dakika 10 mfululizo..
mfano hai presentation vyuoni, ama ma ofisini
nimekuja india kikazi. nimeona wahindi wanajua sana kuongea kiingereza.. hata wa mtaani.. anaongea english nzuri japo wana mother tongue yao..
lugha yao ya taifa sio english ni kihindi... ila wanajua sana english..
nawaza tu why not Tanzania...
hata ambao tumeenda shule wengi wetu hatuwezi kuongea english iliyonyooka hata kwa dakika 10 mfululizo..
mfano hai presentation vyuoni, ama ma ofisini