CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,917
Watu wengi tunawachukulia poaa sana Wahindi,kisa wanaishi mjiji.Ila ukweli ni kwamba wahindi wamewekeza sana kwenye Aridhi,Wana mashamba makubwa na ya kutisha.
Binafisi nimetembelea Wahindi kama 9 Arusha mashambani kwao,wana mashamba na wamewekeza sana,Wengine utasikia wanasema wana mashamba Tanga,wengine Singida huko.
Kwa Arusha na Moshi wana mashamba makubwa sana.Tunawachukulia poa sana ila jamaa ni wakulima,usiwaone wanashinda kwenye Maduka ukawachukulia kawaida.Pia wanajua sana kilimo jamaa.
Ni wakulima wazuri sema hili hatulijui sisi,na wanafuga na kulima pia.
Binafisi nimetembelea Wahindi kama 9 Arusha mashambani kwao,wana mashamba na wamewekeza sana,Wengine utasikia wanasema wana mashamba Tanga,wengine Singida huko.
Kwa Arusha na Moshi wana mashamba makubwa sana.Tunawachukulia poa sana ila jamaa ni wakulima,usiwaone wanashinda kwenye Maduka ukawachukulia kawaida.Pia wanajua sana kilimo jamaa.
Ni wakulima wazuri sema hili hatulijui sisi,na wanafuga na kulima pia.