Wahindi wakimbizwa Benki

Wahindi wakimbizwa Benki

makandemoja

Member
Joined
Apr 17, 2016
Posts
57
Reaction score
48
Usiku wa kuamkia leo waziri mkuu wa India ametanganza kwamba hakuna kuchukua pesa benki na baadhi ya pesa za India(Repee) zitabadilishwa ili kuchochea uwezo wa ulipaji kodi na kupunguza rushwa. wananchi wa India wameonekana kuhifadhi rudo la pesa ndani na hio kupelekea ugumu wa ilipaji kodi kwa serikali ya Rais wa India.

Waziri mkuu modi amesema noti za Rs 500 na Rs 1000 hazitakua legal tender kuanzia sasa huku mchakato wa kuchapisha note mpya umesimamiwa na international monetary fund(IMF).
Sasa nashindwa kuelewa kwa nini India isitumie umoja wa mabenki wa India,Russia,Brazil,South Africa na China(BRICS) badala ya IMF?
Hata hivyo BRICS wanazo US$ 75B pale IMF ambazo zinawafanya kua ni muungano wenye Deposit kuliko yote na hivyo kupelekea kuja kuimiliki IMF Baada ya miaka michache.


"."Ni baada ya Tanzania kutaka kuchapisha Note mpya

"."Sioni umuhim wa BRICS kama kila kitu wanafanya IMF
 
Sidhani kama BRICS itasimama maana utakuwa mwisho wa Mataifa ya Magharibi kuyatawala mataifa masikini kiuchumi
 
Sidhani kama BRICS itasimama maana utakuwa mwisho wa Mataifa ya Magharibi kuyatawala mataifa masikini kiuchumi

sio itasimama imeishasimama
38f3e200df8c345e478648ea54e59371.jpg
 
Usiku wa kuamkia leo waziri mkuu wa India ametanganza kwamba hakuna kuchukua pesa benki na baadhi ya pesa za India(Repee) zitabadilishwa ili kuchochea uwezo wa ulipaji kodi na kupunguza rushwa. wananchi wa India wameonekana kuhifadhi rudo la pesa ndani na hio kupelekea ugumu wa ilipaji kodi kwa serikali ya Rais wa India.

Waziri mkuu modi amesema noti za Rs 500 na Rs 1000 hazitakua legal tender kuanzia sasa huku mchakato wa kuchapisha note mpya umesimamiwa na international monetary fund(IMF).
Sasa nashindwa kuelewa kwa nini India isitumie umoja wa mabenki wa India,Russia,Brazil,South Africa na China(BRICS) badala ya IMF?
Hata hivyo BRICS wanazo US$ 75B pale IMF ambazo zinawafanya kua ni muungano wenye Deposit kuliko yote na hivyo kupelekea kuja kuimiliki IMF Baada ya miaka michache.


"."Ni baada ya Tanzania kutaka kuchapisha Note mpya

"."Sioni umuhim wa BRICS kama kila kitu wanafanya IMF



Soma roles za Brics (Brazil, Russia, India, China & South Africa) na IMF; ni vitu viwili tofauti! Ni sawa na kusema kwenye crisis ya kiuchumi hapa kwetu Tanzania, tukimbilie EAC au SADCC badala ya World Bank au IMF! Hizi ndio Bretton woods istitutions mahsusi za kuratibu na kusimamia uchumi wa dunia.
 
Soma roles za Brics (Brazil, Russia, India, China & South Africa) na IMF; ni vitu viwili tofauti! Ni sawa na kusema kwenye crisis ya kiuchumi hapa kwetu Tanzania, tukimbilie EAC au SADCC badala ya World Bank au IMF! Hizi ndio Bretton woods istitutions mahsusi za kuratibu na kusimamia uchumi wa dunia.

kazi za BRICS ni kama IMF tu mkuu
 
biashara kati ya china na marekani pekee ni kubwa na yenye thamani kubwa mno kuliko biashara kati ya china na india, russia, s. africa na brazil kwa pamoja. nyie mnafikiri mchina ni mjinga mjinga. haya bado china na ulaya, brazil na US. hiyo brics ni kama COW lakin ukweli kwa Kenya TZ ndio dili kwao kuliko Uganda na Rwanda.
 
Back
Top Bottom