Wahindi wakija Bongo wanaringaaa, ona hapa

Wahindi wakija Bongo wanaringaaa, ona hapa

MaxShimba

Platinum Member
Joined
Apr 11, 2008
Posts
36,008
Reaction score
4,092
308414_433583980017507_1136699400_n.jpg
 
tatizo kwetu mbagalaaa hapa nyumba mbele jalalaaaa tatizo kwetu mbwagalaaaa....
 
nasikia ukienda kusoma huko, mwanaume analeta waifu wake kwako au anakutegeshea umchukue kama changu umpe hela, yeye anasubiri kwa mbali umalize kummega mkewe alete hela waende home wakatafute chakula. kuna malaaya wa kujiuza huko? balaa.
 
Tena hawa weusi ole uwakute wale walioko Accounts department!!
 
mishamba hiyo sana sana weusi yaani wao kwao kazi kwenda mbele
 
Kule kwao wana njaa sana nashangaa wakija hapa wanajifanya wafalme!!
 
Mhindi, Mkenya hata Mrwanda wakija Tanzania ni kama wako Ulaya ukilinganisha na ugumu wa maisha kwao. Hii ndiyo maana wakija wanakuwa malimbukeni, wabaguzi na washenzi wasio na mfano. Hata wazanzibari wakija bara utawajua. Kwa ufupi ni kwamba pamoja na ufisadi na upuuzi wa serikali ya sasa, Tanzania bado ni lulu kwa wengi hasa wageni. Jiulize ni wageni wangapi wamejazana kwa mfano Dar wakitokea Kenya, India, DRC, Rwanda na kwingineko. Ukiondoa Afrika Kusini, watanzania hawako kwenye nchi tajwa kwa wingi tena wakihaha kama wao wanavyokuja Tanzania. Kwa mtu anayejua India akiwaona wahindi wanavyojifanya miungu watu wakati ni mavi matupu anatamani Mtikila aamke upya.
 
Juzi nilikuwa napark ma car maeneo fulani hivi A-town mhindi akaja akaniambia eti ni reserved parking yao. Nikamwambia **** babaako hapa si kwenu ka-reserve india.

oi Mkuu naona ulimpa za Uso...! Kudadeki
 
Juzi nilikuwa napark ma car maeneo fulani hivi A-town mhindi akaja akaniambia eti ni reserved parking yao. Nikamwambia **** babaako hapa si kwenu ka-reserve india.


Safi sana mkuu!!
 
sisi wenyewe ndo tunawatukuza wakija kwetu tungekuwa tunawachukulia poa wala wasingejidai.

Tunakaa na hela tukitaka kuiba tunawaita halafu tunawaomba watusaidie kutupa walau kidogo. Kwanini wasituletee za kuleta?
 
Back
Top Bottom