skfull
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 2,944
- 2,385
Hapo uombe Mungu usiku usimwage kojo kitandani... Huruma yote inaisha.Nimecheka eti 'katafute fimbo mwenyewe'
Umelowa unatetemeka kwa baridi halafu unaambiwa ukatafute fimbo unaenda kutafuta lakini unaishia kwenye banda la kuku unauchapa usingizi wakigutuka ndio wanaanza kukutafuta wanajawa na huruma mama anakuagiza ukaoge maji ya moto ukimaliza chakula wamekuandalia na hadithi inaishia hapo ucku umefika kila mtu kulala baada ya kuomba ulinzi wa malaika wa Mungu.
Katalina ni catalyst inayoleta mzuka wa kuchezea mvua!!
Utoto raha sana! Lakini ndio hakuna reverse!Hapo ukitoka unapigwa khanga unakaa juani ukauke halafu unapakwa mafuta.. Zaman raha sana![]()
![]()
![]()
Kama uko we na mdogo wako unachapwa wewe mdogo anapetiwa petiwaNimecheka eti 'katafute fimbo mwenyewe'
Umelowa unatetemeka kwa baridi halafu unaambiwa ukatafute fimbo unaenda kutafuta lakini unaishia kwenye banda la kuku unauchapa usingizi wakigutuka ndio wanaanza kukutafuta wanajawa na huruma mama anakuagiza ukaoge maji ya moto ukimaliza chakula wamekuandalia na hadithi inaishia hapo ucku umefika kila mtu kulala baada ya kuomba ulinzi wa malaika wa Mungu.
Katalina ni aina fulani ya Huricane ambayo inaitwa Katrina, ni so destructive hurricane, so tulikuwa tunaomba mvua ije lakini hiyo Katrina isije kabisa,
Actually tulikuwa hatujui tunachokisema na hakuna anayejua huo msemo uliyokea wapi?
Hurricane Katrina - Wikipedia
mshana jr

Yani nikiskia hilo neno mkuu,Acha tu...nakumbuka mbali sana "to turn back the time"Wish I can turn back the time View attachment 628714