Wahenga mnaikumbuka hii?

Zamani kitu chochote ambacho ni multipurpose walikua wanakiita malaya .. mfano funguo malaya , spana malaya n.k
 
Dah ina maana namimi muhenga! Maana me hiyoki2 badonatumia kwenye kibaiskel changu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…