GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,650
- 109,041
Chakula kimepikwa kwa ajili ya Wazanaki (na hasa Sisi Wafiwa GENTAMYCINE nikiwemo) cha Kushangaza Makabila tajwa katika Kichwa changu cha Habari yenye Washamba wengi kila mkiletewa Chakula cha Msiba mnataka Kuongezewa Sahani zingine kwani mmekuja Kula hapa Masaki nyumbani kwa Marehemu Wakili Mzee Nimrod Elirehema Mkono au Kumlilia Mtani wenu?
Mpo wengi hapa JamiiForums naombeni mnijibu Mtani wenu. Yaani hata Mimi GENTAMYCINE Chakula changu nilichokiweka katika Kiti (tena nimekifunikia) ili nije Kula nacho mmekipitia.
R.I.P Uncle Nimrod Elirehema Mkono.
Mpo wengi hapa JamiiForums naombeni mnijibu Mtani wenu. Yaani hata Mimi GENTAMYCINE Chakula changu nilichokiweka katika Kiti (tena nimekifunikia) ili nije Kula nacho mmekipitia.
R.I.P Uncle Nimrod Elirehema Mkono.