Gaga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,558
- 1,968
Mbona ya kawaida mkuuTopic ya kishenzi, moderator toa matusi haya hadharani, an immorality of the highest degree!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mbona ya kawaida mkuuTopic ya kishenzi, moderator toa matusi haya hadharani, an immorality of the highest degree!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
eti wanajua sana mapenzi, wakarimu, wazuri wa tabia, mnaowajua mtujuze!
Waijua shuntama wewe??? au unasifia tu we sifia ila ukishagonga kiombe cha shuntama ndo utajua baba!! kinatibu magonjwa yako yoote, kama ukali, kumkoromea wife hovyo, no away games, mbaya zaidi hiiii dawa inainamisha shingo, kila ukikutana na waifu we ni kuinama tu. kali kuliko zote wife anaweza kucheza away games ila ukatumika uwanja wa nyumbani na we ndo ukawa refaree.kuna mshikaji wangu anampenz wake mhaya tokea kanyigo bas mwenyewe anamsifia anajua mambo kweli, kwa wanaojua tabia or sifa za wanawake / watu wahuko mtwambie!
kuna mshikaji wangu anampenz wake mhaya tokea kanyigo bas mwenyewe anamsifia anajua mambo kweli, kwa wanaojua tabia or sifa za wanawake / watu wahuko mtwambie!