Wahaya wa kanyigoo....

Gagurito

JF-Expert Member
Feb 11, 2011
5,600
803
kuna mshikaji wangu anampenz wake mhaya tokea kanyigo bas mwenyewe anamsifia anajua mambo kweli, kwa wanaojua tabia or sifa za wanawake / watu wahuko mtwambie!
 
Amekutuma au? Mwenzio keshakwambia amefika unataka tabia za hao waziba za nini? Okay mwabie they are very intelligent. Ategemee kuzaa watoto vichwa!
 
unataka za nini?....unataka kwenda kummegea demu wake siyo......acha hizo bana
 
Kama niwewe hautarudi ukikolezwa kwani wengi wakojuu kama mawingu!ila hawachuniki kama wachaga ni watu wa biashara!
 
Mpe hongera zake sifa zao percent kubwa ni nzuri but sometimes inategemea hulka ya mtu na sio kabila
 
kuhusu shape i have no doubt yupo poa, nyuma sasa ndio ucpime, kalio la ukweli. Hofu yangu mwenzangu mambo haya ndio yatakua yamemteka, vp akitangaza ndoa? Kunahaja yakujua tabia za huyo mwanamke before hajaharibu!
 
Mwasibayo muta waitu,ni lazima huwe active kupiga mzigo,usilaze damu wakati wa mambo,squeez it till it sheds

Rweye, bita Mulangira,
Kweli usilaze damu, squeez it til it shed anga simply squirt it obone omugera.
 
Rweye, bita Mulangira,
Kweli usilaze damu, squeez it til it shed anga simply squirt it obone omugera.
ha ha ha haaaaaaaa!! chonka naiwe owo'omuka, gamba nkusiigile omunya'Iyangiro bojooooo oije obone omugeraa!!!!:mimba:
 
Mwambie jamaa akifika Kanyigo asisahau salamu hii kwa baba mkwe wake 'SHUMALAMU WAITU'......nadhani senene na kahawa za kutafuna atakoma nazo bila kusahau LUBISI kama traditional liqueur. Nyegera waitu.
 
Back
Top Bottom