Wahaya nao wameanza kurudi nyumbani Krismasi

Michewen

JF-Expert Member
Jun 27, 2012
24,565
32,212
Wasomi na wafanyabiashara wakubwa toka kabila la Wahaya wameanza utamaduni wa kurejea nyumbani Bukoba kama wanavyofanya Wachaga. Wengi wanatokea nje ya nchi (New York, Washington DC, Geneva, Paris, London, Sydney, Stockholm, Copenhagen) na hapa nchini wengi wanaishi Jijini Dar es Salaam, Dodoma. Asanteni.
 
Wasomi na wafanyabiashara wakubwa toka kabila la Wahaya wameanza utamaduni wa kurejea nyumbani Bukoba kama wanavyofanya Wachaga. Wengi wanatokea nje ya nchi (New York, Washington DC, Geneva, Paris, London, Sydney, Stockholm, Copenhagen) na hapa nchini wengi wanaishi Jijini Dar es Salaam, Dodoma. Asanteni.
Picha ! picha !
 
Wasomi na wafanyabiashara wakubwa toka kabila la Wahaya wameanza utamaduni wa kurejea nyumbani Bukoba kama wanavyofanya Wachaga. Wengi wanatokea nje ya nchi (New York, Washington DC, Geneva, Paris, London, Sydney, Stockholm, Copenhagen) na hapa nchini wengi wanaishi Jijini Dar es Salaam, Dodoma. Asanteni.
mhhh, wamekuja na mandege makubwa yametua vijijini

instanbull ukuje huku nyumbani kumenoga
 
Wasomi na wafanyabiashara wakubwa toka kabila la Wahaya wameanza utamaduni wa kurejea nyumbani Bukoba kama wanavyofanya Wachaga. Wengi wanatokea nje ya nchi (New York, Washington DC, Geneva, Paris, London, Sydney, Stockholm, Copenhagen) na hapa nchini wengi wanaishi Jijini Dar es Salaam, Dodoma. Asanteni.
Siyo wahaya tu, watu wa makabila mbalimbali kwa sasa wanafanya hivyo
 
Lengo la uzi hasa ilikuwa ni kubainisha kwamba wengi wa hao nshomile wanatokea kwenye majiji ya huko majuu......siwezi kushangaa nshomile kwa kupenda ligi na sifa zilizopitiliza, ngoja tumsubiri Lwambo Makiadi atueleze wengi wa wachaga wanatokea wapi ili ku balansi huu mtanange.​
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom