Wahasibu walipwe vizuri mshahara

Wahasibu walipwe vizuri mshahara

cold water

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2021
Posts
323
Reaction score
1,128
Utakuta mhasibu kutwa nzima anashika pesa ofisini, pesa za kampuni mshahara kwa mwezi laki tano(500,000/=)

Hii inafanya wawe na tamaa ya kuiba fedha za kampuni,kwasiku unashika fedha milioni kumi za ofisi (10,000,000/=) kwa mwezi unaingiza milioni mia tatu (300,000,000/=)mshahara laki tano sio kweli!

Wahasibu muwafikirie maofisini kazi ya mahesabu ngumu jamani inaumiza kichwa! Hapo utakuta aandae reports, alipe wafanyakazi mishahara na bado analipwa pesa kidogo.
 
Wewe una vinasaba vya wizi tu, tamaa na kujikweza.Hakuna uhusiano wa kushika hela nyingi kazini na mshahara unaolipwa.Jela inakunukia na ngumu kwako kutoboa kwa fikra hizo.Kwanza Muhasibu haingizi chochote kwenye kampuni, nikupokea tu hela hata pengine hata hujui zimepatikana vipi!, kuandaa payroll nayo kazi ngumu?Kazi zenyewe nyingi ni za kila mwisho wa mwezi?Acha ubishoo wewe na ongezeko la mshahara lina utaratibu wake na pia utendaji wako wa kazi.Siyo tai ndefu tu shingoni na mbwembwe eti mimi muhasibu wa kampuni
 
Wewe una vinasaba vya wizi tu, tamaa na kujikweza.Hakuna uhusiano wa kushika hela nyingi kazini na mshahara unaolipwa.Jela inakunukia na ngumu kwako kutoboa kwa fikra hizo.Kwanza Muhasibu haingizi chochote kwenye kampuni, nikupokea tu hela hata pengine hata hujui zimepatikana vipi!, kuandaa payroll nayo kazi ngumu?Kazi zenyewe nyingi ni za kila mwisho wa mwezi?Acha ubishoo wewe na ongezeko la mshahara lina utaratibu wake na pia utendaji wako wa kazi.Siyo tai ndefu tu shingoni na mbwembwe eti mimi muhasibu wa kampuni
Unaumia ukiwa wapi ndugu
 
Utakuta mhasibu kutwa nzima anashika pesa ofisini, pesa za kampuni mshahara kwa mwezi laki tano(500,000/=)

Hii inafanya wawe na tamaa ya kuiba fedha za kampuni,kwasiku unashika fedha milioni kumi za ofisi (10,000,000/=) kwa mwezi unaingiza milioni mia tatu (300,000,000/=)mshahara laki tano sio kweli!

Wahasibu muwafikirie maofisini kazi ya mahesabu ngumu jamani inaumiza kichwa! Hapo utakuta aandae reports, alipe wafanyakazi mishahara na bado analipwa pesa kidogo.
na mimi bodaboda wa wake za watu na mpaka rangi kucha za wadada nilipwe nini kizuri ili niache kuwatamani taman??.........na ndugu yangu Mpwayungu Village anayefundisha watoto wetu micharuko wenye figa matata huko shuleni na kutembea kwa kujibinua apewe nini vilee??
 
Wewe una vinasaba vya wizi tu, tamaa na kujikweza.Hakuna uhusiano wa kushika hela nyingi kazini na mshahara unaolipwa.Jela inakunukia na ngumu kwako kutoboa kwa fikra hizo.Kwanza Muhasibu haingizi chochote kwenye kampuni, nikupokea tu hela hata pengine hata hujui zimepatikana vipi!, kuandaa payroll nayo kazi ngumu?Kazi zenyewe nyingi ni za kila mwisho wa mwezi?Acha ubishoo wewe na ongezeko la mshahara lina utaratibu wake na pia utendaji wako wa kazi.Siyo tai ndefu tu shingoni na mbwembwe eti mimi muhasibu wa kampuni
Angekuwa mwalimu wa fizikia ndiyo ungeafiki aongezwe mshahara?Acha kipwipwili.
 
na mimi bodaboda wa wake za watu na mpaka rangi kucha za wadada nilipwe nini kizuri ili niache kuwatamani taman??.........na ndugu yangu Mpwayungu Village anayefundisha watoto wetu micharuko wenye figa matata huko shuleni na kutembea kwa kujibinua apewe nini vilee??
Mpwayungu atalipwa debe la mtama,kisado cha viwavijeshi na shuka moja jeupe kutoka Milembe ajifunge lubega kujikinga na upepo wa Domdom.
 
Wewe unafikiri kunusa harufu ya noti ni kishawishi kidogo?The real whiff of money tempts every creature!
Kizazi cha Kidigitali eti: Fikra zake ni kama hizo, kwamba kwa vile yeye ndiye mshika noti na mlipaji;basi mshahara wake unapaswa kuwa juu ya wafanyakazi wooote wa Kampuni.CCM wameharibu vijana sana.
 
Kizazi cha Kidigitali eti: Fikra zake ni kama hizo, kwamba kwa vile yeye ndiye mshika noti na mlipaji;basi mshahara wake unapaswa kuwa juu ya wafanyakazi wooote wa Kampuni.CCM wameharibu vijana sana.
Usiwasingizie Sisyemu!Binadamu wote ni wachoyo kiasili na tunahitaji kumiliki vyote vilivyo vizuri.
 
Back
Top Bottom