Wahasibu na wenye uelewa naombeni msaada wenu hapa tafadhali

Huu ni mwanzo mzuri sana mkuu, wengi utaratibu huu haupo. Kuna kitabu kinaitwa The Richest Man in Babylon kitafute kitakusaidia sana.

Kwa ufupi, kimejikita kwenye msingi wa kutengeneza au kujenga nidhamu ya pesa (wengi hatuna hiyo) ukishakua na nidhamu ya pesa, mafanikio mengine yatafuatia tu. Hata uwe na biashara ya kukuingizia pesa kiasi gani, kama hauna nidhamu ya pesa hauwezi kufika popote.

Yeye anashauri kwenye kila unachokipata, jambo la kwanza jilipe kwanza wewe kwa kuweka akiba sio chini ya asilimia kumi ya kile ulichokipata.
mkuu asnt hk ktabu nlimwazima mtu hakurudisha tena nashangaa kimenirudia kwa mfumo mwngn
 
Huwa nafanya kitu kinachofanana na chako. Lakini kwa njia tofauti kidogo. Nitaieleza na unaweza kuidesa kama utaona inakufaa au ni bora kuliko yako.

Mimi natumia column moja kwa mwezi. Column hiyo moja ina sehemu kuu nne.

Sehemu ya Kwanza (Mapato/Cash Inflows)
Inaanza na line/row ya kwanza naweka balance ya cash kutoka mwezi iliopita. Then naorodhesha vyanzo mbalimbli vya mapato (cash)....hapa kunaweza kuwa na lines/rows kadhaa kutegemeana na vyanzo vyako (mshahara, mkopo, rent, dividend, etc.). Baada ya hapi naweka line ya jumla (subtotal) ya vyanzo vya mapato kwa huo mwezi (line/row moja tu) na halafu line moja tena ya jumla ya balance ya mwezi uliopita na mapato ya mwezi huo (yaani jumla yote ya cash niliyonayo).

Sehemu ya Pili (Matumizi/Cash Outflows)
Kwa kuwa matumizi ni mengi na yanabadilika hapa nakuwa na lines/rows nyingi zaidi. Na kama kuna matumizi naona ni lazima kuwa na breakdown, basi naweka hiyo breakdown kwenye worksheet nyinginezo. Kwa mfano unaweza kuwa na line ya chakula, lakini ukaona ni muhimu kuwa na list ya hivyo vyakula kwa ajili ya control. Baada ya matumizi then ntakuwa na line ya jumla ya matumizi (cash niliyotoa) yote kwa mwezi huo.

Sehemu ya Tatu (Cash Balance)
Hii line/row moja tu. Hapa nakokotoa tofauti kati ya jumla ya mapato yote (kutoka sehemu ya kwanza, including balance ya mwezi ulopita - #nafikiri hii inajibu swali lako la msingi) na jumla ya matumizi yote (sehemu ya pili). Hii balance (baada ya kureconcile na Sehemu ya Nne) ndio utai link mwezi unaofuata kama opening balance.

Sehemu ya Nne (Cash Count/Recon)
Hii ni sehemu muhimu sana. Ni lazima ufanye cash count kila mwisho wa mwezi. Ukiweza kuifanya vizuri itakufunilia mambo mengi sana kuhusu mapato na matumizi yako mpaka utafurahi. Hapa naorodhesha cash zote nilizonazo hapo mwishoni mwa mwezi (ukishindwa basi fanya tarehe moja ya mwezi unaofuata kabla hujaanza kufanya matumizi). Yaani jumlisha balance ya hela zote - mpesa/tigopesa etc, pesa iliyopo kwenye wallet yako, pesa iliyopo kwenye safe (kama unayo), pesa iliyopo kwenye kila bank account yako, kwenye gari, kwenye begi etc. Jumla yote ni lazima ifanane na jumla unayoipata Sehemu ya Tatu. Ukiona hazifanani basi ujue kunaweza kuwa na matizo katika rekodi ya matumizi yako, mapato yako au hujahesabu vizuri pesa iliyonayo. Review records zako mpaka zi reconcile. Hii itakupa discipline sana ya record keeping na hata matumizi yako to the last shilling. Utajikuta unalazimika kuweka record kila siku maana ukisibiri mwishoni mwa mwezi kuna uwezekano mkubwa vitu vingi ukasahu.

Kila la heri.
Safi sana SMU.
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Huwa nafanya kitu kinachofanana na chako. Lakini kwa njia tofauti kidogo. Nitaieleza na unaweza kuidesa kama utaona inakufaa au ni bora kuliko yako.

Mimi natumia column moja kwa mwezi. Column hiyo moja ina sehemu kuu nne.

Sehemu ya Kwanza (Mapato/Cash Inflows)
Inaanza na line/row ya kwanza naweka balance ya cash kutoka mwezi iliopita. Then naorodhesha vyanzo mbalimbli vya mapato (cash)....hapa kunaweza kuwa na lines/rows kadhaa kutegemeana na vyanzo vyako (mshahara, mkopo, rent, dividend, etc.). Baada ya hapi naweka line ya jumla (subtotal) ya vyanzo vya mapato kwa huo mwezi (line/row moja tu) na halafu line moja tena ya jumla ya balance ya mwezi uliopita na mapato ya mwezi huo (yaani jumla yote ya cash niliyonayo).

Sehemu ya Pili (Matumizi/Cash Outflows)
Kwa kuwa matumizi ni mengi na yanabadilika hapa nakuwa na lines/rows nyingi zaidi. Na kama kuna matumizi naona ni lazima kuwa na breakdown, basi naweka hiyo breakdown kwenye worksheet nyinginezo. Kwa mfano unaweza kuwa na line ya chakula, lakini ukaona ni muhimu kuwa na list ya hivyo vyakula kwa ajili ya control. Baada ya matumizi then ntakuwa na line ya jumla ya matumizi (cash niliyotoa) yote kwa mwezi huo.

Sehemu ya Tatu (Cash Balance)
Hii line/row moja tu. Hapa nakokotoa tofauti kati ya jumla ya mapato yote (kutoka sehemu ya kwanza, including balance ya mwezi ulopita - #nafikiri hii inajibu swali lako la msingi) na jumla ya matumizi yote (sehemu ya pili). Hii balance (baada ya kureconcile na Sehemu ya Nne) ndio utai link mwezi unaofuata kama opening balance.

Sehemu ya Nne (Cash Count/Recon)
Hii ni sehemu muhimu sana. Ni lazima ufanye cash count kila mwisho wa mwezi. Ukiweza kuifanya vizuri itakufunilia mambo mengi sana kuhusu mapato na matumizi yako mpaka utafurahi. Hapa naorodhesha cash zote nilizonazo hapo mwishoni mwa mwezi (ukishindwa basi fanya tarehe moja ya mwezi unaofuata kabla hujaanza kufanya matumizi). Yaani jumlisha balance ya hela zote - mpesa/tigopesa etc, pesa iliyopo kwenye wallet yako, pesa iliyopo kwenye safe (kama unayo), pesa iliyopo kwenye kila bank account yako, kwenye gari, kwenye begi etc. Jumla yote ni lazima ifanane na jumla unayoipata Sehemu ya Tatu. Ukiona hazifanani basi ujue kunaweza kuwa na matizo katika rekodi ya matumizi yako, mapato yako au hujahesabu vizuri pesa iliyonayo. Review records zako mpaka zi reconcile. Hii itakupa discipline sana ya record keeping na hata matumizi yako to the last shilling. Utajikuta unalazimika kuweka record kila siku maana ukisibiri mwishoni mwa mwezi kuna uwezekano mkubwa vitu vingi ukasahu.

Kila la heri.
Naona umeleta wazo zuri sana!!

Niko na hoja mbili!!

Mapato na matumizi yangu nimeyagawanya kwenye kota, yaani kila kota ina miezi mitatu! hoja ya msingi ni hii, ndani ya kota flani je salio la mwezi wa kwanza linaweza kuwa income kwenye "income section" ya mwezi wa pili na wa tatu ndani ya kota hiyo? naona umeelezea kwenye mada yako ila nitahitaji maezo zaidi kama hutojali!

Hoja ya pili...

Naona umefikia mbali, je unaweza nipatia template ya excel sheet yako nicheki kama naweza jifunza kitu?

NB: Mapato yangu sehemu kubwa ni salary..

Ntanguliza shukrani!
 
Naona umeleta wazo zuri sana!!

Niko na hoja mbili!!

Mapato na matumizi yangu nimeyagawanya kwenye kota, yaani kila kota ina miezi mitatu! hoja ya msingi ni hii, ndani ya kota flani je salio la mwezi wa kwanza linaweza kuwa income kwenye "income section" ya mwezi wa pili na wa tatu ndani ya kota hiyo? naona umeelezea kwenye mada yako ila nitahitaji maezo zaidi kama hutojali!

Hoja ya pili...

Naona umefikia mbali, je unaweza nipatia template ya excel sheet yako nicheki kama naweza jifunza kitu?

NB: Mapato yangu sehemu kubwa ni salary..

Ntanguliza shukrani!
1. Yes balance ya mwezi mmoja itaingia kwenye mwezi unaofuata.
2. Naweza ku-share template: but kesho.
 
Kwa hiyo itaingia kama income?
Yap. Labda cha muhimu hapa kujua ni kuwa dhana ya income au revenue kihasibu ni tofauti na hii cash accounting unayojaribu kufanya. Hii unayofanya inakaribiana zaidi namna serikali inavyotambua mapato na matumizi uake. Mfano, kihasibu ukipata mkopo sio revenue wala income. Lakini katika muktadha wetu hapa loan utaitreat kama income. Vivyo hivyo kwa hiyo cash balance.
 
Kwanza nawasilimu!

Pili...

Katika harakati za kuhakikisha naweka kumbu kumbu za mapato na matumizi yangu kwa mwezi nimeamua kutengeneza "spread sheet" ambayo ina sehemu mbili, Income na Expenses. Sehemu ya "revenue" nimeweka mshahara wangu na mapato mengine, na sehemu ya "expenses" nimeweka matumizi yangu ya mwezi husika.

Swali,

Je kama mishahara imekutana, yaani nimebakiwa na salio kwenye mwezi husika, je hili salio kwenye mwezi ujao nitalijaza kama "Income(mapato)" au "Expense(matumizi)"?

Mfano baada ya matumizi kwa mwezi nikabakiwa na 200k, je hii 200k kwenye mwezi ujao nitaijaza kama revenue (mapato)?

NB: Baada ya kutoa revenue na expenses nabakiwa na kiwango cha pesa kichobaki kwenye mwezi husika!

Naomba kuwasilisha tafadhali!
Usichanganye revenue ambayo ni mapato ya biashara kwenye mchanganuo wako binafsi hili neno hutumika kwenye kunukuu mapato ya kibiashara. Wala siku yoyote rafiki, usichanganye matumizi ya biashara na matumizi yako binafsi. Ili kupata uhalisia. Umetumia neno "mapato na matumizi yangu" kumbe hii ni personal Income.

Kwa hio, Mshahara wako uweke kwenye column ya Mapato (income) kama kuna payroll tax umekatwa weka upande wa matumizi.
Mapato (Disposable income) toa Matumizi (consumption) = Savings Kulingana na keynesian economics. Weka hizi benki Na kama unamadeni lipa. Mwezi unaokuja unafanya vivo hivo. Tumia hiyo spread sheet kama bajeti angalia wapi au which row unaweza kubana matumizi mwezi ujao

Mishahara ikiingiliana unaweka kwenye mwezi uleule uliopata hela, wewe uko kwenye cash basis accounting ukizishika ndio unaandika. Ukianza biashara vijana wenzio watakwambia kuhusu Accrual basis accounting, yani ni namna nyingine ya kunukuu matukio maalum kwa biashara
 
Usichanganye revenue ambayo ni mapato ya biashara kwenye mchanganuo wako binafsi hili neno hutumika kwenye kunukuu mapato ya kibiashara. Wala siku yoyote rafiki, usichanganye matumizi ya biashara na matumizi yako binafsi. Ili kupata uhalisia. Umetumia neno "mapato na matumizi yangu" kumbe hii ni personal Income.

Kwa hio, Mshahara wako uweke kwenye column ya Mapato (income) kama kuna payroll tax umekatwa weka upande wa matumizi.
Mapato (Disposable income) toa Matumizi (consumption) = Savings Kulingana na keynesian economics. Weka hizi benki Na kama unamadeni lipa. Mwezi unaokuja unafanya vivo hivo. Tumia hiyo spread sheet kama bajeti angalia wapi au which row unaweza kubana matumizi mwezi ujao

Mishahara ikiingiliana unaweka kwenye mwezi uleule uliopata hela, wewe uko kwenye cash basis accounting ukizishika ndio unaandika. Ukianza biashara vijana wenzio watakwambia kuhusu Accrual basis accounting, yani ni namna nyingine ya kunukuu matukio maalum kwa biashara
Nimekupata kiongozi!!

Kwa hiyo salio la mwezi huu nitaliweka wapi kwenye mwezi ujao? Income section au expenses section?
 
Io ni balance carried forwad..... Kwa mwenzi ujao, ila kwa mwezi uliopita itaitwa balance carried download pesa uliyo bakiwa nayo baada ya kutoa expenses na revenue zako...
 
Kwanza nawasilimu!

Pili...

Katika harakati za kuhakikisha naweka kumbu kumbu za mapato na matumizi yangu kwa mwezi nimeamua kutengeneza "spread sheet" ambayo ina sehemu mbili, Income na Expenses. Sehemu ya "revenue" nimeweka mshahara wangu na mapato mengine, na sehemu ya "expenses" nimeweka matumizi yangu ya mwezi husika.

Swali,

Je kama mishahara imekutana, yaani nimebakiwa na salio kwenye mwezi husika, je hili salio kwenye mwezi ujao nitalijaza kama "Income(mapato)" au "Expense(matumizi)"?

Mfano baada ya matumizi kwa mwezi nikabakiwa na 200k, je hii 200k kwenye mwezi ujao nitaijaza kama revenue (mapato)?

NB: Baada ya kutoa revenue na expenses nabakiwa na kiwango cha pesa kichobaki kwenye mwezi husika!

Naomba kuwasilisha tafadhali!
Hiyo utaipeleka balance sheet mkuu.
 
DR. Cash a/c
CR. Salary a/c

DR. Expense a/c
CR. Cash a/c

DR. Salary a/c
CR. Income St. a/c (closing entry)

DR. Income St. a/c
CR. Expense a/c. (closing entry)

DR. Income St. a/c
CR. Surplus a/c

FP
Assets(CA) Cash bal.
O/E. Surp. bal.


Nb.
Income statement ufunguliwa katika mtiririko wa vipndi maalumu kwa lengo la kutaka kujua faida kwa wanao jishughulisha na biashara au ziada kwa wasiojishughulisha na biashara. Baada ya hicho kipindi kuisha hufungwa kabisa baada ya dhumun kufikiwa.

Kwa scenario yako kinachobaki ni ziada, hivyo kitaingia kwenye akaunti maalumu ya ziada. Kupitia akaunti ya ziada utakuwa unaweka ziada zingine zote zinazopatikana katika vipindi vingine vya kuandaa income statement kwa kujumlisha na ziada za vipindi vingine vilivyopita.

Done.
 
Mshahara ukibaki baada ya kutoa matumizi salio unaliweka kwenye reserves. Reserves itakuwa inaongezeka kila mara unapokuwa na salio la mshahara. Kumbuka salio sio income tena. Income unaiaccount mara moja tu. Ukiliaacount salio utakuwa unadouble counting kwa sababu hilo salio ni sehemu ya income ambayo tayari ulishaiaccount huko nyuma.
DR. Cash a/c
CR. Salary a/c

DR. Expense a/c
CR. Cash a/c

DR. Salary a/c
CR. Income St. a/c (closing entry)

DR. Income St. a/c
CR. Expense a/c. (closing entry)

DR. Income St. a/c
CR. Surplus a/c

Nb.
Income statement ufunguliwa katika mtiririko wa vipndi maalumu kwa lengo la kutaka kujua faida kwa wanao jishughulisha na biashara au ziada kwa zisizojishughulisha na biashara. Baada hicho kipindi kuisha hufungwa kabisa baada ya dhumun kufikiwa.

Kwa scenario yako kinachobaki ni ziada, hivyo kitaingia kwenye akaunti maalumu ya ziada ambayo ndiyo ndio unaweza brought forward.

Done.
Nadhani ungemweleza tu kuwa hiyo hela aipeleke reserve account ingetosha na kuelewa zaidi kuliko ulichokiandika hapo juu. Kiufupi ndio umezidi kumchanganya kabisa. Umeandika kama unamweleza mhasibu mwenzio
 
Nadhani ungemweleza tu kuwa hiyo hela aipeleke reserve account ingetosha na kuelewa zaidi kuliko ulichokiandika hapo juu. Kiufupi ndio umezidi kumchanganya kabisa. Umeandika kama unamweleza mhasibu mwenzio

Ahsante Mkuu kwa angalizo ambalo naamini litakuwa msaada kwa mtoa mada.!

Mkuu Upepo wa pesa zingatia hapa.
 
Ahsante Mkuu kwa angalizo ambalo naamini litakuwa msaada kwa mtoa mada.!

Mkuu Upepo wa pesa zingatia hapa.
Nadhani ungemweleza tu kuwa hiyo hela aipeleke reserve account ingetosha na kuelewa zaidi kuliko ulichokiandika hapo juu. Kiufupi ndio umezidi kumchanganya kabisa. Umeandika kama unamweleza mhasibu mwenzio
Nashukuruni sana wadau, michango yenu ya muhimu... Bado naendelea kuidevelop hii excel nataka nianze ku track matumizi na mapato soon!

Nitaiweka hapa ili muichambue na iweze kuwasaidia wengine!!
 
Back
Top Bottom