Wahariri wa Habari hasa wa Magazeti tumewachoka na acheni kuibaka na kuinajisi tasnia

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,689
109,119
Moja ya ' Kanuni ' Mama kabisa ya Uandishi wa Habari ni kuwa Neutral and Fair hasa katika upelekaji wa taarifa kwa mlaji au walaji wako lakini hii tabia nimeivumilia kwa muda mrefu sasa na leo MWANAMUME nimeona ' yamenifika ' shingo na kuamua kuwatemea ' nyongo ' Wahariri wote wa Vyombo vya Habari hasa vya Magazeti kwa aina yao mpya ya ' ubakaji ' na ' unajisi ' kwa tasnia ambayo taratibu sasa inaelekea ukingoni kuanza kuheshimiwa na Walaji.

Haiwezekani kabisa eti leo ukiondoa tu Gazeti la ' Kinafiki ' la Bingwa hakuna Gazeti lingine lolote lile ambalo limeandika taarifa ya Timu ya Yanga FC ' kufungwa ' Goli 4 kwa Bashite / 0 jana huko nchini Algeria na Klabu ya MC Algiers huku mchezo ule umeisha mapema tu mnamo Saa 3 na dakika 55 usiku muda ambao nina uhakika kuwa Watu wengi wa News Room huwa wapo Kazini.

Uchungu zaidi kama siyo hasira zinanipanda pale ninapokumbuka kuwa ni mwaka huu huu wakati wa Michuano ya Kombe la Mapinduzi kule Visiwani Zanzibar Klabu ya Simba SC ilikuwa inacheza na Taifa Jang'ombe na nakumbuka mechi ile ilimalizika usiku wa Saa 5 na dakika 4 hivi na Simba SC ilifungwa lakini Kesho yake asubuhi tu Front Page ya Magazeti yote nchini habari uza yao ilikuwa ni ' Kufungwa ' kwa Simba lakini jana kufungwa kwa Yanga FC kule Algeria huku mpambano huo ukiisha mapema tu leo hawajaandika.

Jamani Waandishi wa Habari na hapa nawalenga sana Wahariri ( Gate Keepers ) Kitaaluma kuwa nyie wana Tasnia ndiyo kila siku mmekuwa wa Kwanza kuwasema wenzenu wa Tasnia zingine kwa kutokuwa na ' Ueledi ' je hivi na nyie hivi Vitendo vya kuonyesha upendeleo wa wazi wazi kwa Yanga FC na kupenda ' kuiangamiza ' na ' kuichafua ' tu Simba SC kila ' uchao ' ndiyo aina ya ' Maadili ' yenu mliyofundishwa huko Vyuoni mlikopita?

Na ili muone kuwa hata Mwenyezi Mungu hapendezwi na huo ' Unafiki ' wenu tena ' uliotukuka ' kabisa wa Kitasnia ndiyo maana kila na kadri mnavyojitahidi ' kuipamba ' na ' kuisifu ' Klabu ya Yanga FC ikishiriki tu Michuano ya CAF huwa ' inaangukia ' pua ( kufanya vibaya ) mapema sana na pengine hii ndiyo ' laana ' ya Mungu kwa aina ya Uonevu usiovumilika wa Kiuandishi wa Habari mnayoifanyia Simba SC mara kwa mara.

Ni matumaini yangu makubwa kuwa ' Ujumbe ' wangu huu ' murua ' kabisa utawafikia hata kama utakuwa ' mchungu ' Kwenu ILA kama kawaida yangu GENTAMYCINE huwa ' silei ' upuuzi na upumbavu na ndiyo leo nimeamua kuwatemea rasmi ' nyongo ' yangu hii japo nina uhakika kuwa pamoja na Yanga FC ' kufungwa ' na ' kufurumushwa ' kabisa Mashindanoni CAF Kesho katika Magazeti yenu mtakuja na Headlines zile zile za ' Yanga yafa Kishujaa ' au ' Yanga yafa Kiume ' au ile ya ' Bahati yao MC Algiers '.

Badilikeni upesi!
 
Waandike wasiandike
Tunajua Walipokea 4G
Uzuri kwa sasa niwachache wanao tegemea habari za Magazeti ya Tanzania
yamejaa unafiki, Uzushi hayana Uandishi wa Ukweli ukweli.
Wapo kutafuta kitonge na kiki
kuliko kuelimisha na kujuza vilivyo vya kweli.
simu yangu Ndio Gazeti langu kwa sasa
 
Moja ya ' Kanuni ' Mama kabisa ya Uandishi wa Habari ni kuwa Neutral and Fair hasa katika upelekaji wa taarifa kwa mlaji au walaji wako lakini hii tabia nimeivumilia kwa muda mrefu sasa na leo MWANAMUME nimeona ' yamenifika ' shingo na kuamua kuwatemea ' nyongo ' Wahariri wote wa Vyombo vya Habari hasa vya Magazeti kwa aina yao mpya ya ' ubakaji ' na ' unajisi ' kwa tasnia ambayo taratibu sasa inaelekea ukingoni kuanza kuheshimiwa na Walaji.

Haiwezekani kabisa eti leo ukiondoa tu Gazeti la ' Kinafiki ' la Bingwa hakuna Gazeti lingine lolote lile ambalo limeandika taarifa ya Timu ya Yanga FC ' kufungwa ' Goli 4 kwa Bashite / 0 jana huko nchini Algeria na Klabu ya MC Algiers huku mchezo ule umeisha mapema tu mnamo Saa 3 na dakika 55 usiku muda ambao nina uhakika kuwa Watu wengi wa News Room huwa wapo Kazini.

Uchungu zaidi kama siyo hasira zinanipanda pale ninapokumbuka kuwa ni mwaka huu huu wakati wa Michuano ya Kombe la Mapinduzi kule Visiwani Zanzibar Klabu ya Simba SC ilikuwa inacheza na Taifa Jang'ombe na nakumbuka mechi ile ilimalizika usiku wa Saa 5 na dakika 4 hivi na Simba SC ilifungwa lakini Kesho yake asubuhi tu Front Page ya Magazeti yote nchini habari uza yao ilikuwa ni ' Kufungwa ' kwa Simba lakini jana kufungwa kwa Yanga FC kule Algeria huku mpambano huo ukiisha mapema tu leo hawajaandika.

Jamani Waandishi wa Habari na hapa nawalenga sana Wahariri ( Gate Keepers ) Kitaaluma kuwa nyie wana Tasnia ndiyo kila siku mmekuwa wa Kwanza kuwasema wenzenu wa Tasnia zingine kwa kutokuwa na ' Ueledi ' je hivi na nyie hivi Vitendo vya kuonyesha upendeleo wa wazi wazi kwa Yanga FC na kupenda ' kuiangamiza ' na ' kuichafua ' tu Simba SC kila ' uchao ' ndiyo aina ya ' Maadili ' yenu mliyofundishwa huko Vyuoni mlikopita?

Na ili muone kuwa hata Mwenyezi Mungu hapendezwi na huo ' Unafiki ' wenu tena ' uliotukuka ' kabisa wa Kitasnia ndiyo maana kila na kadri mnavyojitahidi ' kuipamba ' na ' kuisifu ' Klabu ya Yanga FC ikishiriki tu Michuano ya CAF huwa ' inaangukia ' pua ( kufanya vibaya ) mapema sana na pengine hii ndiyo ' laana ' ya Mungu kwa aina ya Uonevu usiovumilika wa Kiuandishi wa Habari mnayoifanyia Simba SC mara kwa mara.

Ni matumaini yangu makubwa kuwa ' Ujumbe ' wangu huu ' murua ' kabisa utawafikia hata kama utakuwa ' mchungu ' Kwenu ILA kama kawaida yangu GENTAMYCINE huwa ' silei ' upuuzi na upumbavu na ndiyo leo nimeamua kuwatemea rasmi ' nyongo ' yangu hii japo nina uhakika kuwa pamoja na Yanga FC ' kufungwa ' na ' kufurumushwa ' kabisa Mashindanoni CAF Kesho katika Magazeti yenu mtakuja na Headlines zile zile za ' Yanga yafa Kishujaa ' au ' Yanga yafa Kiume ' au ile ya ' Bahati yao MC Algiers '.

Badilikeni upesi!
GENTAMYCINE uwe na asubuhi njema. Usiwapangie cha kuandika.
ec1cc407da90f232f79e9d6f1ceee067.jpg
 
Moja ya ' Kanuni ' Mama kabisa ya Uandishi wa Habari ni kuwa Neutral and Fair hasa katika upelekaji wa taarifa kwa mlaji au walaji wako lakini hii tabia nimeivumilia kwa muda mrefu sasa na leo MWANAMUME nimeona ' yamenifika ' shingo na kuamua kuwatemea ' nyongo ' Wahariri wote wa Vyombo vya Habari hasa vya Magazeti kwa aina yao mpya ya ' ubakaji ' na ' unajisi ' kwa tasnia ambayo taratibu sasa inaelekea ukingoni kuanza kuheshimiwa na Walaji.

Haiwezekani kabisa eti leo ukiondoa tu Gazeti la ' Kinafiki ' la Bingwa hakuna Gazeti lingine lolote lile ambalo limeandika taarifa ya Timu ya Yanga FC ' kufungwa ' Goli 4 kwa Bashite / 0 jana huko nchini Algeria na Klabu ya MC Algiers huku mchezo ule umeisha mapema tu mnamo Saa 3 na dakika 55 usiku muda ambao nina uhakika kuwa Watu wengi wa News Room huwa wapo Kazini.

Uchungu zaidi kama siyo hasira zinanipanda pale ninapokumbuka kuwa ni mwaka huu huu wakati wa Michuano ya Kombe la Mapinduzi kule Visiwani Zanzibar Klabu ya Simba SC ilikuwa inacheza na Taifa Jang'ombe na nakumbuka mechi ile ilimalizika usiku wa Saa 5 na dakika 4 hivi na Simba SC ilifungwa lakini Kesho yake asubuhi tu Front Page ya Magazeti yote nchini habari uza yao ilikuwa ni ' Kufungwa ' kwa Simba lakini jana kufungwa kwa Yanga FC kule Algeria huku mpambano huo ukiisha mapema tu leo hawajaandika.

Jamani Waandishi wa Habari na hapa nawalenga sana Wahariri ( Gate Keepers ) Kitaaluma kuwa nyie wana Tasnia ndiyo kila siku mmekuwa wa Kwanza kuwasema wenzenu wa Tasnia zingine kwa kutokuwa na ' Ueledi ' je hivi na nyie hivi Vitendo vya kuonyesha upendeleo wa wazi wazi kwa Yanga FC na kupenda ' kuiangamiza ' na ' kuichafua ' tu Simba SC kila ' uchao ' ndiyo aina ya ' Maadili ' yenu mliyofundishwa huko Vyuoni mlikopita?

Na ili muone kuwa hata Mwenyezi Mungu hapendezwi na huo ' Unafiki ' wenu tena ' uliotukuka ' kabisa wa Kitasnia ndiyo maana kila na kadri mnavyojitahidi ' kuipamba ' na ' kuisifu ' Klabu ya Yanga FC ikishiriki tu Michuano ya CAF huwa ' inaangukia ' pua ( kufanya vibaya ) mapema sana na pengine hii ndiyo ' laana ' ya Mungu kwa aina ya Uonevu usiovumilika wa Kiuandishi wa Habari mnayoifanyia Simba SC mara kwa mara.

Ni matumaini yangu makubwa kuwa ' Ujumbe ' wangu huu ' murua ' kabisa utawafikia hata kama utakuwa ' mchungu ' Kwenu ILA kama kawaida yangu GENTAMYCINE huwa ' silei ' upuuzi na upumbavu na ndiyo leo nimeamua kuwatemea rasmi ' nyongo ' yangu hii japo nina uhakika kuwa pamoja na Yanga FC ' kufungwa ' na ' kufurumushwa ' kabisa Mashindanoni CAF Kesho katika Magazeti yenu mtakuja na Headlines zile zile za ' Yanga yafa Kishujaa ' au ' Yanga yafa Kiume ' au ile ya ' Bahati yao MC Algiers '.

Badilikeni upesi!
Mda mwingine uwe unatumia akili kuandika siyo unakurupuka tuu,,,sasa umeandika nini sasa
 
Kufungwa Yanga na Waarabu si habari ni tukio la kawaida kama vile mbwa kamng'ata mtu,lakini siku mtu akimng'ata mbwa ni headline
 
Hivi Color Paints Zimeisha Madukani Najua Nyuzi Zako Kama Hizi Ni Lazima Uzilembe Kwa Rangi Tofauti Tofauti Ili Kuweka Msisitizo Nashangaa
 
Puta nputa ndo umeandika nn boya kwel ww povy linskutokaaa si ukawe muharrr ww
 
Uzi wako sijaupenda

Kwani Sheria za JF kuna mahala popote labda zimetutaka na kutulazimisha kuwa tuanzishe ' threads ' ambazo zitawapendeza ' Mapopoma ' wote kama Wewe? Mbona hata Wewe ' Kinyesi ' chako hakipendwi na ' Majirani ' zako hapo lakini sisi hatusemi?
 
GENTAMYCINE uwe na asubuhi njema. Usiwapangie cha kuandika.
ec1cc407da90f232f79e9d6f1ceee067.jpg

Oya Wewe ' Boya ' Mimi siongeli huu ' upupu ' wa ' frendi fodi ' wako bali nazungumzia hasa hasa kuhusu habari zao za Michezo na jinsi wanavyoipendelea Yanga FC kwa gharama za kuiumiza Simba SC. Kitasnia aina yao hiyo ya Uandishi ni sawa sawa na kuibaka na kuinajisi.
 
Mkubwa samahani kwa kukutoa kwenye mada iliyopo. Mkuu muda mfupi uliopita nilikuwa nafuatilia ziara ya kimziki ya Ferre Gola de Padre huko Kenya, kilichonistua ni kumuona Shikito Makinu akikata versé kama kawaida ndani ya kundi !! Je amesharudi tena kwa Ferre baada ya kuhama ?
NB: Samahani kwa usumbufu

Yap ' Shikito ' aligombana huko mwanzo na Ferre Gola kwa kudanganywa na ' Matajiri ' wa Congo akina Didi Kinuani ' Papaa Brayani ' na akina Zadio Kongolo ' Le senyo de la vie ' ambapo baadae walimtumia kwa muda mfupi kwa mambo yao kisha ' wakamtosa ' Dogo hivyo nae akamfuate Ferre na kumwomba radhi na kwakuwa ' Shikito ' aliibuliwa na Ferre hivyo akamsamehe na ssa Dogo ndiyo anauwasha moto ile mbaya ndani ya Bendi. Ni hayo tu Mkuu na sitaki swali lingine tena kwani ' Droo ' ya jana ya Toto African imenichanganya na kunitibua mno hivyo niache kwanza akili yangu itulie tafadhali.
 
Back
Top Bottom