WANA-JF;
Naomba kujua kuhusu mtaji (capital) unaohitajiwa na contractors Registration Board (CRB) ili kuweza kusajili kampuni ya ujenzi kwenye madaraja yake tofauti tofauti. Nimejaribu kutafuta taarifa hii kwenye website ya CRB lkn sijafanikiwa kuiona popote. Nimefanikiwa kuona tu kiwango cha contract amount ambao madaraja ya makampuni (class 7-class 1) haya yanaruhusiwa kufanya.
Pia nimeona taarifa ili kampuni iweze ku-upgrade toka daraja moja kwenda daraja la juu, ni lazima iwe na an improved capital, lkn haiko wazi ni kutoka kwenye kiwango gani ambao ulikuwa initial na ni kwa kiasi au kwa asilimia ngapi?
Hivyo naomba wale wenye uelewa katika hili wanisaidie tafadhali, kwani hii taarifa nahitaji sana. Naomba ufafanuzi ulenge haya yafuatayo;
1. Je, kampuni mpya ya ujenzi (civil works, building works, au civil and building works) inapoomba usajili kwa mara ya kwanza (mfano class 7) inatakiwa kuwa na capital-mtaji (hapa namaanisha pesa tu bila kuhusisha plants and equipments) kiasi gani?
2. Je, kama kampuni inahitaji ku-upgrade toka class moja kwenda class ya juu (mfano class 7 kwenda class 6) je inatakiwa kuwe na improved mtaji wa pesa (capital) kwa kiasi gani au kwa asilimia ngapi ya mtaji wa awali?
3. Je, inawezekana kwa mara ya kwanza ukasajili kampuni ya ujenzi kwenye class 6, 5, 4, 3, 2 au 1 badala ya kuanzia class 7? kama ndiyo je, upande wa mtaji (pesa) inatakiwa pia iwe kiasi gani? AU usajili wa kampuni ya ujenzi ni lazima ufuate mlolongo wa class 7, then class 6, then class 5, n.k?
NB: Naomba maelezo yazingatie tu
1.Usajili na upgrading ya makampuni ya wazawa (local contractors) tu na siyo makampuni ya kigeni.
2. Mtaji (capital) hapa iwe ni pesa inayohitajika kwa usajili au upgrading pale CRB na siyo assets zingine za kampuni.
Natanguliza shukrani.
TELO.
Naomba kujua kuhusu mtaji (capital) unaohitajiwa na contractors Registration Board (CRB) ili kuweza kusajili kampuni ya ujenzi kwenye madaraja yake tofauti tofauti. Nimejaribu kutafuta taarifa hii kwenye website ya CRB lkn sijafanikiwa kuiona popote. Nimefanikiwa kuona tu kiwango cha contract amount ambao madaraja ya makampuni (class 7-class 1) haya yanaruhusiwa kufanya.
Pia nimeona taarifa ili kampuni iweze ku-upgrade toka daraja moja kwenda daraja la juu, ni lazima iwe na an improved capital, lkn haiko wazi ni kutoka kwenye kiwango gani ambao ulikuwa initial na ni kwa kiasi au kwa asilimia ngapi?
Hivyo naomba wale wenye uelewa katika hili wanisaidie tafadhali, kwani hii taarifa nahitaji sana. Naomba ufafanuzi ulenge haya yafuatayo;
1. Je, kampuni mpya ya ujenzi (civil works, building works, au civil and building works) inapoomba usajili kwa mara ya kwanza (mfano class 7) inatakiwa kuwa na capital-mtaji (hapa namaanisha pesa tu bila kuhusisha plants and equipments) kiasi gani?
2. Je, kama kampuni inahitaji ku-upgrade toka class moja kwenda class ya juu (mfano class 7 kwenda class 6) je inatakiwa kuwe na improved mtaji wa pesa (capital) kwa kiasi gani au kwa asilimia ngapi ya mtaji wa awali?
3. Je, inawezekana kwa mara ya kwanza ukasajili kampuni ya ujenzi kwenye class 6, 5, 4, 3, 2 au 1 badala ya kuanzia class 7? kama ndiyo je, upande wa mtaji (pesa) inatakiwa pia iwe kiasi gani? AU usajili wa kampuni ya ujenzi ni lazima ufuate mlolongo wa class 7, then class 6, then class 5, n.k?
NB: Naomba maelezo yazingatie tu
1.Usajili na upgrading ya makampuni ya wazawa (local contractors) tu na siyo makampuni ya kigeni.
2. Mtaji (capital) hapa iwe ni pesa inayohitajika kwa usajili au upgrading pale CRB na siyo assets zingine za kampuni.
Natanguliza shukrani.
TELO.