Elizabeth Dominic
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 4,555
- 3,649
ITV wamesema ni kutoka Ethiopia na si Somalia.
Ni tukio la kusikitisha sana.
Ni tukio la kusikitisha sana.
Duh!Wapo nchini kihalali au ni wahamiaji haramu?
I am sending them my utmost condolences. May their soal rest in peace. Mi nashangaa vyombo vya dola vikiwakamata wanawatupa rumande na kuwarudisha nchini kwao kwenye vita na njaa kali. Embu watanzania just imagine hali wanayopitia wao ingekua hapa kwetu then unafanikiwa kukimbia kwenda nchi jirani nao wanakukamata na kukurudisha hapa. Ungejisikiaje? Tuwatafutie hifadhi na kuwasaidia kijamii.
Sasa vunjeni huo muungano na Zanzibar yenu itakuwa hivyo hivyo kaka Somali!Natamani kuliaaaaa, nguvu sna, hawa waislamy wenzangu wanapata tabu bila sababu!!! Chanzo ni marekani huyuuuuu ......
Huyo jamaa inawezakuwa ni mbumbumbu kabisa ama amejichanganya kutokana na kinachofata Merhani na MarekaniAcha ujinga Marekani inahusika nini na mgogoro wa Somalia? unajua kiini chake au unaongea tu? watu wako dini moja na ni jamii moja yenye kuongea lugha moja lakini hawaelewani kwa sababu ya dhuluma za wao kwa wao. Somalia toka ipate uhuru mwaka 1960 ukoo wa Merhani ambao wako karibu na Majahitani na Daroodi ndio wamekuwa wakitawala na wenye mamlaka makubwa dhidi ya Jamii ya Hawiye ambao ndio wengi ikabidi kushika mtutu wa bunduki kudai mkate wa taifa ugawiwe kwa usawa huku wakiongozwa na Jenerali Fara Ididi na kuipindua serikali ya Jenerali Siad Bare wa ukoo wa Merhani.Sasa unaposema Marekani inasabisha mateso ya wasomali kivipi wakati nchi yenyewe ni fukara haina mafuta wala madini na isitoshe sio strategic area kuwa muhimu kwa Marekani kama Marekani iliitaka Somalia kwa sababu za kiuchumi tutoe hoja kiutalaamu zaidi sio kidini.
1. Wasomali walifikaje Dodoma kwa wingi huo?
2. Je walifika wakiwa hai au wafu?
3. NI nani huyo kawatelekeza Dodoma?
4. Ilikuaje mpaka kifo cha Msomali wa 50 kutokea?
5. Sasa kitu gani kinaendelea hadi sasa?
Mkuu wageni wa Uamsho hao. Walikuwa wanaelekea Morogoro kuitembelea Radio Imaan kuona inavyofanya kazi halafu baadaye wangeonana na Sheikh Bassaleh and Ponda kabla ya kuelekea Zanzibar. Taarifa za awali za inteligensia zimeonesha hivyo.
TBC 1 wameonyesha maiti za wahamiaji waliokufa Dodoma ndani ya container na 72 kunusurika.Container hilo limepita mpakani Namanga na maeneo mengi bila kujulikana,jee nchi yetu iko salama kiasi gani kama vitu vinaweza kupita mpaka kati ya nchi bila kujulikana?