Wahaini waliotaka kuipindua Serikali

BAK

JF-Expert Member
Feb 11, 2007
124,789
288,015

MIAKA 20 BILA YA NYERERE: Wahaini wa 1968 walivyoadhibiwa-7​

WEDNESDAY OCTOBER 09 2019​



pic nyerere

Oscar kambona

Summary​

Kama Tanganyika ilikuwa tulivu tangu ilipopata uhuru wake, basi utulivu huo hauna tafsiri ile ile ambayo Watanzania wengi wanaifikiria. Ule mwongo wa kwanza tangu uhuru kulijitokeza mambo mengi, na mengine hayakujulikana sana, na huenda hayatajulikana kamwe. Tukio muhimu zaidi lilitukia mwaka 1968 ambalo baadhi ya maofisa wa serikali walidaiwa kula njama za kuipindua Serikali ya Mwalimu Nyerere. Mwandishi William Shao anaelezea katika makala hii...

Ingawa alikuwa maarufu sana Tanzania, Afrika na duniani kwa ujumla, Mwalimu Julius Nyerere alikabiliana na magumu mengi katika siasa. Alikuwa katika majaribio mengi ya utawala wake kuangushwa. Wengi waliomwinda walikuwa ni wa ndani na nje ya serikali yake.

 
Hayati baba wa taifa Mwalimu Nyerere aliwasamehe wengi tu mathalani alipata kusema haya "ujana unawasumbua ,ni vijana tu waliingiwa ujinga ujinga wakayafanya waliyoyakusudia"....

Hayati baba wa taifa Julius Nyerere alikuwa ni mtu rahimu na mkarimu sana....ALIWASAMEHE KWANI UWEZO WAKE WA KIFIKRA WA KUTAKA TANGANYIKA/TANZANIA HURU YENYE SERA ZA KIJAMAA NA KUJITEGEMEA ULIKUWA NI MKUBWA MARADUFU NA WAKATI MWINGINE HAUKUWEZA KUELEWEKA VYEMA NA BAADHI YA WATU......

Siempre El Commandante Julius K.Nyerere🙏

Hasta La Victoria El Commandante Julius K.Nyerere🙏

YETZER-HATOV
 
Umemrithi johnthebaptist maendeleo hayana chama!
Hayati baba wa taifa Mwalimu Nyerere aliwasamehe wengi tu mathalani alipata kusema haya "ujana unawasumbua ,ni vijana tu waliingiwa ujinga ujinga wakayafanya waliyoyakusudia"....

Hayati baba wa taifa Julius Nyerere alikuwa ni mtu rahimu na mkarimu sana....ALIWASAMEHE KWANI UWEZO WAKE WA KIFIKRA WA KUTAKA TANGANYIKA/TANZANIA HURU YENYE SERA ZA KIJAMAA NA KUJITEGEMEA ULIKUWA NI MKUBWA MARADUFU NA WAKATI MWINGINE HAUKUWEZA KUELEWEKA VYEMA NA BAADHI YA WATU......

Siempre El Commandante Julius K.Nyerere

Hasta La Victoria El Commandante Julius K.Nyerere

YETZER-HATOV
 
Back
Top Bottom