Waha , mnaferi wapi ?

Kuna dada yng na yeye kapata jamaa wa kiha na ndio katoka kumletea Posa home hivi karibuni yani,

Kiukweli namsikitikia kutokana na hili kabila ninavyolijua
 
Kubisha ujinga usio na maana, uchafu, waha wamezidi
 
Alifuata amwachie mwenzie .ni kistaarabu tu
Hataki kuelewa na nilisha mwambia,hiyo ID kafanya kusudi kuiga yangu,sio kwamba ni bahati mbaya,hiyo ni dalili ya mtu kutokujiamini na kutokua creative.
 
Kuna dogo limoja nalo nilipanga naye jirani ni muha alikua na tabia hyo ya kufungulia mziki Kelele km zte,

Majiran wenzie tukamfuata mara kadhaa awe mstaarabu kwenye suala la mziki akajifanya mbishi miksa kutupandishia kibezi

Siku ya siku raia wakachoka kumvumilia ile jioni aliporud gheto kwake kilichomkuta hd huko alipo nahc atawasimuliaga wajukuu had vitukuu vyake

maana ile siku wadau tulimshushia kichapo mbele ya mjumbe wa mtaa na hakukua na wakumtetea
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…