nilishawambia mara nyingi sana kwamba chama chetu cha MAGAMBA ni nouuma. tuna mbinu nyingi balaa na zote hizi tumefundishwa na wachina. sasa tunajua nyie UKAWA mnapendwa na watu ko ili tuweze kumaliza game ni lazima tuchezee nje ya uwanja kwa kupandikiza fitina mbalimbali ili mradi tusonge na tuendelee kufuja mali zenu nyie msio jielewa. we fikiria mbinu ya kuhonga fedha, kanga, kofia, Tshirt, sukari zooote wadanganyika wameishashtukia ko tumebadili mbinu na hii ya pingamizi ni mbinu ya 9 kati ya kumi na nane mpaka tuje tumalize zoote mtakuwa mumenyampa vya kutosha. sie ndo CCM bwana kama hutaki unalo jambo