Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,935
- 5,558
naunga mkono hoja wananchi hawana imani na ccm tena wizi wa pesa za escorw ndo jeneza la ccmCcm bila hujuma hawawezi shinda uchaguzi kamwe!
naunga mkono hoja wananchi hawana imani na ccm tena wizi wa pesa za escorw ndo jeneza la ccmCcm bila hujuma hawawezi shinda uchaguzi kamwe!
ulitaka ntadandie kwa nyuma kama weweHuna lolote unadandia gari kwa mbele
hizi ni kelele za chura tuuIkulu hamuwezi kufika nyinyi mtapiga kelele mpaka koo zikauke
Cha kushangaza ni kwamba wanaolalamika ni chadema tu na si vyama vingine
Cha kushangaza ni kwamba wanaolalamika ni chadema tu na si vyama vingine
Ndiomana watu wanaogopa kuwachagua wanaona wataishi bila amani
Wangekuwa wana huruma na ww wangekufanya ht umalize darasa la saba, uandikaji wako unaonesha umeishia Std3 or 4. Nyie ni mtaji mzuri sana kwa CCM na ht cku1 hawataki muelimike
Hata mkiwapa elimu wananchi lakini ikifika 2015 wanachagua kijani