Thomas Odera
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 670
- 149
Katika marekebisho ya katiba mpya ya Tanzania kuwe na kipegele kinachoruhusu mgombea urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa pia mgombea ubunge katika jimbo analotoka ili kama atashindwa kuwa rais wa Tanzania basi walau atoe mchango wake bungeni. Naomba mchango wa wadau wengine