Habari wana JF.
Kuna usemi usemao "mgeni njoo mwenyeji apone" lakini kuna baadhi ya wageni sio wote ukiwakalibisha home inakua ni kero mpaka unatamani siku za kuondoka zifike asepe zake.
Kuna baadhi ya wageni tunaowakaribsha majumbani kwetu au gheto kwa sisi vijana kusema kweli ni wavivu alafu wachafu yaani unakuta mtu analala alafu akiamka hata kutandika kitanda anashindwa. We unaamka unamwacha bado kalala alafu anaacha kitanda hivyo hivyo we ndo unakuja kutandka alafu hata haya hana.
Pili hata vyombo mlivyolia chakula anashindwa hata kuvisuuza yeye bngwa wa kuamka na kucheki tv alafu unarudi toka may be kazini unakuta ndio hana mpango wa kuwasha hata jiko alafu sasa ye ndani ndio anakuwa bingwa wa kujua kila kitu mara utaona yeye ndio bngwa wa kubadili channel kwenye tv, bingwa wa kupakua wa kwanza msosi ukiwa tiyari, bingwa wa kubadili CD yaani utadhani yeye ndio mwenye nyumba yaani mpaka kero.
Kuna usemi usemao "mgeni njoo mwenyeji apone" lakini kuna baadhi ya wageni sio wote ukiwakalibisha home inakua ni kero mpaka unatamani siku za kuondoka zifike asepe zake.
Kuna baadhi ya wageni tunaowakaribsha majumbani kwetu au gheto kwa sisi vijana kusema kweli ni wavivu alafu wachafu yaani unakuta mtu analala alafu akiamka hata kutandika kitanda anashindwa. We unaamka unamwacha bado kalala alafu anaacha kitanda hivyo hivyo we ndo unakuja kutandka alafu hata haya hana.
Pili hata vyombo mlivyolia chakula anashindwa hata kuvisuuza yeye bngwa wa kuamka na kucheki tv alafu unarudi toka may be kazini unakuta ndio hana mpango wa kuwasha hata jiko alafu sasa ye ndani ndio anakuwa bingwa wa kujua kila kitu mara utaona yeye ndio bngwa wa kubadili channel kwenye tv, bingwa wa kupakua wa kwanza msosi ukiwa tiyari, bingwa wa kubadili CD yaani utadhani yeye ndio mwenye nyumba yaani mpaka kero.