Hahaaa!baba yako alikuwa konki kweliHulka hiyo alikuwa na ba'mdogo wangu ukienda kumtembelea usitegemee safari nyingine utamkuta nyumba ile ile, afu alikuwa hatumii simu kabisa.
Sijawahi pokea mgeni wa hivyo!
Huja ni kama wanapita tuu
HahaaaaaIngekua hivo basi guest house zingekua na baraka kuliko nyumba zote duniani.
Sasa kama mtu ana nguo zake huko ndani??? Mmhh ama kweli Hali ngumu imewafanya watu wawe wachoyo
Kwani mgeni akija kwako analipia huduma kama za guest?Ingekua hivo basi guest house zingekua na baraka kuliko nyumba zote duniani.
Hahaaa! Kuna rafiki yangu mmoja nilikuwa napenda sana life style yake kabla hujamtembelea anakuuliza kabisa utakaa siku ngapiSio wachoyo mjini watu wanaishi kwa budget ukija unasema kabisa utakaa mda gani si kuvamia tu kwa watu afu huondoki hizo nguo watazifataga siku nyingine
Kwani mgeni akija kwako analipia huduma kama za guest?
Hahaaa! Kuna rafiki yangu mmoja nilikuwa napenda sana life style yake kabla hujamtembelea anakuuliza kabisa utakaa siku ngapi
Hiyo title sasa
"Wageni watata"