Waganga ni waongo

Waganga ni waongo

Mambo zenu
Mimi sijamboo ila kweli hawawatu ni waongo.
Unamuambia mtu aliye na matatizo akupe hela yeye atatolea wapi?
Shenzi type yaani mtu anadai ml 1 mwingine laki 620 mwingine 400 mwingine lako 150 mwingine 80.
Pumbavuu nimekasirika naona nikae na hali yangu.
Dah warongo tu Mungu atanipa mkweli siku moja ila sio hao.
Yaani bado unamtafuta mganga mwengine
 
Mambo zenu
Mimi sijamboo ila kweli hawawatu ni waongo.
Unamuambia mtu aliye na matatizo akupe hela yeye atatolea wapi?
Shenzi type yaani mtu anadai ml 1 mwingine laki 620 mwingine 400 mwingine lako 150 mwingine 80.
Pumbavuu nimekasirika naona nikae na hali yangu.
Dah warongo tu Mungu atanipa mkweli siku moja ila sio hao.
MWENZAKO ALILIWA KIULAINI KULEEE TANDIKA,
ALIINGIZIWA DAWA KWENYE PAPUCHI NA KICHWA KISICHO NA MABEGA
🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂
 
Kama hakukugegeda tu Mshukuru Mungu!

Ila kwa hasira hizi nina Mashaka huenda vumbi la Kongo lilihusika
 
Kama ni rahisi hvyo ngoja niwe mganga nianze kuingiza daww
yes unaweza maana asilimia kubwa ni waongo zaidi wanafaidika na pesa na papuchi za watu waliokata tamaa na maisha

You can try mjin ujanjaa unaandaa tu matunguri yako ya uwongo na kweli😀
 
Komaa na mungu wako kwa Iman yako atakupa zaid ya hiyo unavyovitaj
 
Mambo zenu
Mimi sijamboo ila kweli hawawatu ni waongo.
Unamuambia mtu aliye na matatizo akupe hela yeye atatolea wapi?
Shenzi type yaani mtu anadai ml 1 mwingine laki 620 mwingine 400 mwingine lako 150 mwingine 80.
Pumbavuu nimekasirika naona nikae na hali yangu.
Dah warongo tu Mungu atanipa mkweli siku moja ila sio hao.
Plan maisha yako vizuri waganga wenyewe wamefeli kuplan ndo maana wapo hivyo alafu we unaenda kutaka msaada kwao.
 
Back
Top Bottom