Waganda wawaletea fujo Stars na viongozi wetu

Kidzogolae

Senior Member
Apr 20, 2008
133
2
Jamani, hivi kwanini waganda waliwafanyia fitina viongozi wetu wa mpira pamoja na wachezaji na mashabiki wetu. manake ninavyosoma magazeti, nasikia hadi watz wengine walijeruhiwa, na viongozi wetu hadi wameamua kukata ties na Uganda kimichezo.

Au nao wanataka kuwa kama wakenya? wanataka kuleta chuki kwa watz?wanataka kusababisha watz wawachukie waganda kama wanavyowachukia wakenya? jamani hii inasikitisha. Hii ndo barabara ya kwenda kwenye East Africa federation Museven akiwa raissssssssss?....hahaha.
 
Jamani, hivi kwanini waganda waliwafanyia fitina viongozi wetu wa mpira pamoja na wachezaji na mashabiki wetu. manake ninavyosoma magazeti, nasikia hadi watz wengine walijeruhiwa, na viongozi wetu hadi wameamua kukata ties na Uganda kimichezo.

Au nao wanataka kuwa kama wakenya? wanataka kuleta chuki kwa watz?wanataka kusababisha watz wawachukie waganda kama wanavyowachukia wakenya? jamani hii inasikitisha. Hii ndo barabara ya kwenda kwenye East Africa federation Museven akiwa raissssssssss?....hahaha.

Ndio maana watanzania 75% wakasema no fast tracking of the EA, they know for sure the 'marriage' cant work
 
Back
Top Bottom