Waganda waitaka No reform No election ya CHADEMA

Waganda waitaka No reform No election ya CHADEMA

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,146
Reaction score
48,388
Maelfu ya waganda wanaomuunga mkono mgombea wa chama Uganda National Uñity platform (NUP) Robert Kyagulanyi Ssentamu almaarufu kama Bobi Wine, wameanza kuhamasishana kugomea Uchaguzi wa nchi hiyo mwakani.

Waganda hao wanaona ni bora kuiga Kampeni ya No reform No election ya CHADEMA.

CHADEMA iko kimataifa!!
 
Maelfu ya waganda wanaomuunga mkono mgombea wa chama Uganda National Uñity platform (NUP) Robert Kyagulanyi Ssentamu almaarufu kama Bobi Wine, wameanza kuhamasishana kugomea Uchaguzi wa nchi hiyo mwakani.

Waganda hao wanaona ni bora kuiga Kampeni ya No reform No election ya CHADEMA.

CHADEMA iko kimataifa!!
TAL yupo Mbele ya Muda, bado AFRIKA na DUNIANI kote wataiga NRNE
 
Mkuu wa jeshi muhoozi kawaambia wakigomea uchaguzi wahame nchi.Atawasaka awafunge Kwa kuhamasisha wananchi kuwanyima haki Yao ya kisiasa.
 
Na usiku Leo wa salamu za mwaka mpya Tareh1/1/2026 Rais Museveni ktka moja sehemu ya speech yake kamshambulia sana Mgombea mwenza wake Kyagulanyi(bobi wine) kwamba sijui anashirikiana na foreigners kutaka kuleta fujo nchini nk....
Na kule upande pili mpinzani wake zamani kizya Besigye anasulubishwa tu mahakamani kakonda ukabaki kichwa tu kikubwa ...
Ila Mzee Museveni na umri wake zaidi miaka80 anasoma speech kwenye makaratasi bila miwani kabisa Bado yupo fit, ila tu yupo makini na kuvaa mabarakoa kuepusha maambukizi...
All in all wafanye Uchaguzi wa amani
 
Maelfu ya waganda wanaomuunga mkono mgombea wa chama Uganda National Uñity platform (NUP) Robert Kyagulanyi Ssentamu almaarufu kama Bobi Wine, wameanza kuhamasishana kugomea Uchaguzi wa nchi hiyo mwakani.

Waganda hao wanaona ni bora kuiga Kampeni ya No reform No election ya CHADEMA.

CHADEMA iko kimataifa!!
CHADEMA ni jasiri muongoza njia
 
Bila waganda kufanya kilichofanyika hapa mo29, wataendelea kutawaliwa na Museveni kwa miaka mingi ijayo.
 
Maelfu ya waganda wanaomuunga mkono mgombea wa chama Uganda National Uñity platform (NUP) Robert Kyagulanyi Ssentamu almaarufu kama Bobi Wine, wameanza kuhamasishana kugomea Uchaguzi wa nchi hiyo mwakani.

Waganda hao wanaona ni bora kuiga Kampeni ya No reform No election ya CHADEMA.

CHADEMA iko kimataifa!!
Bob winw naye ni muhuni tu tofauti yake na zito ni kuvaa bullet proof tu.

Mana ana jua fika hawezi shinda uchaguzi na hata akishinda hawezi tangazwa kuna haja gani ya kushiriki chaguzi ya namna hiyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom