Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,947
- 22,098
Nimeonaaa NTV nikajisikia huzuni sana
Wananchi wanalia na kulalamikia polisi kusababisha mauwaji ya ndugu zaoo kwa kutotoa P3 wengine wamejiongeza kwakulaumu uongozi mzima kutofwatilia hili
Wananchi wamechoka ukiona hivi kama kufa ndugu zetu wamekufa vya kutosha tunaomba polisi waweke wazi P3 inauzwa ama bure na ni sh ngapi
Wananchi wanajua ni bure wanashangaa mgonjwa kagongwa na gari anapita vituoni bado wanataka pesa waandike P3 wengine hawana uwezo wanaishia kufa njiani..
Uongozi husika naamini mmeliona mtalifanyia kaziii
Wananchi wanalia na kulalamikia polisi kusababisha mauwaji ya ndugu zaoo kwa kutotoa P3 wengine wamejiongeza kwakulaumu uongozi mzima kutofwatilia hili
Wananchi wamechoka ukiona hivi kama kufa ndugu zetu wamekufa vya kutosha tunaomba polisi waweke wazi P3 inauzwa ama bure na ni sh ngapi
Wananchi wanajua ni bure wanashangaa mgonjwa kagongwa na gari anapita vituoni bado wanataka pesa waandike P3 wengine hawana uwezo wanaishia kufa njiani..
Uongozi husika naamini mmeliona mtalifanyia kaziii