ambiliki
Member
- Jun 26, 2013
- 80
- 46
pole sana kijana mtoto wa kiongozi aliposhikwaaa china ndege iliondoka usiku aliachiwa.na ndipo hapo wachina kuja kuweka mikataba kibao.mwishimiwa kikwete leo umepea mmlaka ila umeyatumia kuangamiza vijana wa taifa hili laana hii itakungamiza wewe na kizazi chako hadi cha kumi majina unayo hutaki kufuatilia unajua miraji anafnya nini akishikwa mara ya pili utafaya nini au utauza njii