Mapengo 17
R I P
- Mar 28, 2014
- 1,228
- 618
Wakuu nimesoma gazeti la (Tanzania Daima) la leo Novemba 3, 2014 nimeiona hii taarifa nikafikiri ni vyema tukashere kwa pamoja.
Kwa kifupi mazingira ya tukio wanaume hao kila mmoja alikuwa na mke wa mwanaume mwenzake na walikutana kwenye nyumba ya kulala wageni, ndipo walipoamua kufika kwenye uongozi wa Kijiji hicho na kukubaliana mbele ya viongozi wa kijiji kuwa wabadilishane wake zao ili kila mmoja asimlaumu mwenzake kuwa alimfumania.
Kwa kifupi mazingira ya tukio wanaume hao kila mmoja alikuwa na mke wa mwanaume mwenzake na walikutana kwenye nyumba ya kulala wageni, ndipo walipoamua kufika kwenye uongozi wa Kijiji hicho na kukubaliana mbele ya viongozi wa kijiji kuwa wabadilishane wake zao ili kila mmoja asimlaumu mwenzake kuwa alimfumania.