Wafugaji wamtosa lowasa:

Wafugaji wamtosa lowasa:

navy boi

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2014
Posts
1,520
Reaction score
482
WAFUGAJI WAMTOSA LOWASA:

Kundi la wafugaji nchini wamesema hawamuunga mkono Lowasa kwa sababu,

Lowasa ni mbinafisi, inakuwaje yeye wakati akiwa waziri mkuu aliwatetea wafugaji wa kimasai kuchungia hifadhini lakini Wasukuma na Wakurya kule Serengeti wakiingiza mifugo yao hifadhini wanakamatwa na kupigwa faini kubwa?

Wamasai aliwaibia sana mifugo yao kwa kuinunua kwa bei ndogo, hivyo wanasema wakimchagua ni kumkaribisha fisi zizini ili aendelee kuwamalizia mifugo yao.

Lowasa ni mnafiki katika mikutano yake hakuna sehemu aliyoongelea maswala ya wafugaji na wakulima,hususani wanaokosa sehemu za malisho, yeye anachowaza ni kuwa rais wa machinga na mama ntilie.

HIVO HAWACHAGU MTU ASIYEJUA MATATIZO YA WAFUGAJI.
 
Mzee wa buku 7 hivi hamjaongezewa maana naona mnajituma sana kumchafua lowasa
 
Teh teh teh poleni ccm mwaka huu mtaleta propaganda za kila rangi lakini hampati kitu
 
WAFUGAJI WAMTOSA LOWASA:

Kundi la wafugaji nchini wamesema hawamuunga mkono Lowasa kwa sababu,

Lowasa ni mbinafisi, inakuwaje yeye wakati akiwa waziri mkuu aliwatetea wafugaji wa kimasai kuchungia hifadhini lakini Wasukuma na Wakurya kule Serengeti wakiingiza mifugo yao hifadhini wanakamatwa na kupigwa faini kubwa?

Wamasai aliwaibia sana mifugo yao kwa kuinunua kwa bei ndogo, hivyo wanasema wakimchagua ni kumkaribisha fisi zizini ili aendelee kuwamalizia mifugo yao.

Lowasa ni mnafiki katika mikutano yake hakuna sehemu aliyoongelea maswala ya wafugaji na wakulima,hususani wanaokosa sehemu za malisho, yeye anachowaza ni kuwa rais wa machinga na mama ntilie.

HIVO HAWACHAGU MTU ASIYEJUA MATATIZO YA WAFUGAJI.

Habari za kufikirika hizo.
 
12079185_901724439903318_5955829688122008179_n.jpg
 
Wametumwa hao wapuuzeni
 
IT masaki imekata pumzi. Lowasa ni shida
 
Mnatuchosha. Tafuteni mambo mengine ya kuongelea
 
WAFUGAJI WAMTOSA LOWASA:

Kundi la wafugaji nchini wamesema hawamuunga mkono Lowasa kwa sababu,

Lowasa ni mbinafisi, inakuwaje yeye wakati akiwa waziri mkuu aliwatetea wafugaji wa kimasai kuchungia hifadhini lakini Wasukuma na Wakurya kule Serengeti wakiingiza mifugo yao hifadhini wanakamatwa na kupigwa faini kubwa?

Wamasai aliwaibia sana mifugo yao kwa kuinunua kwa bei ndogo, hivyo wanasema wakimchagua ni kumkaribisha fisi zizini ili aendelee kuwamalizia mifugo yao.

Lowasa ni mnafiki katika mikutano yake hakuna sehemu aliyoongelea maswala ya wafugaji na wakulima,hususani wanaokosa sehemu za malisho, yeye anachowaza ni kuwa rais wa machinga na mama ntilie.

HIVO HAWACHAGU MTU ASIYEJUA MATATIZO YA WAFUGAJI.

Mkabila mkubwa wewe...
Aibu kwako.
 
Pumba zako peleka kwa wanywa viroba wenzio
kwenye sanduku la kura mmeshashindwa labda kama mnazo mbinu nyingine za ushindi sio kwa kura.
Bakieni na hayo hayo. Kura za wapumbavu na malofa. Ngumu sana kuzipata.
 
WAFUGAJI WAMTOSA LOWASA:

Kundi la wafugaji nchini wamesema hawamuunga mkono Lowasa kwa sababu,

Lowasa ni mbinafisi, inakuwaje yeye wakati akiwa waziri mkuu aliwatetea wafugaji wa kimasai kuchungia hifadhini lakini Wasukuma na Wakurya kule Serengeti wakiingiza mifugo yao hifadhini wanakamatwa na kupigwa faini kubwa?

Wamasai aliwaibia sana mifugo yao kwa kuinunua kwa bei ndogo, hivyo wanasema wakimchagua ni kumkaribisha fisi zizini ili aendelee kuwamalizia mifugo yao.

Lowasa ni mnafiki katika mikutano yake hakuna sehemu aliyoongelea maswala ya wafugaji na wakulima,hususani wanaokosa sehemu za malisho, yeye anachowaza ni kuwa rais wa machinga na mama ntilie.

HIVO HAWACHAGU MTU ASIYEJUA MATATIZO YA WAFUGAJI.

Usikubali leo tanzania inazidiwa na burundi wanashilika la ndege liko makin lakin cc hakuna kitu kenya wanashilika lina ndege 60 hv nyerer si aliacha shilika la ndege likiwa hai hiii leo liko wap ndege aliyonunua mkapa na yenyewe iko wap unahitaji kua na tatizo la akili kupigia kula ccm walim tabora wameitisha mgomo malimbikizo cha maden ya mishahala

Je unafahamu kifaa kiitwacho LOWASA...?
NI kifaa cha kisasa chenye uwezo mkubwa wa kuangamiza na kutokomeza kirusi sugu kiitwacho CCM, sasa kifaa hiki kinapatikana nchi nzima katika mwonekano mpya kupitia king'amuzi bora cha UKAWA, kwenye mtamdao ulioenea nchi nzima wa M4C na chanel kama CHADEMA, NCCR, CUF na NLD.
Chagua LOWASA, chagua Ukawa kwa mabadiliko ya kweli,
Tanzania bila ccm inawezekana, fanya maamuzi ya busara 25 oct.
 
Habari MTANZANIA, Naitwa Edward Ngoyai Lowassa, nagombea urais kupitia CHADEMA chini ya mwavuli wa UKAWA. Nina nia na dhamira ya kweli ya kuibadilisha nchi yetu. Uwezo ninao na rasilimali tele zipo! Hakuna sababu ya watu wetu kuwa masikini kiasi hiki kwan utajiri wa nchi hii ni wetu wote. Nitaboresha maisha ya wakulima, wafanyakazi, wafanya biashara wakubwa na wadogo na zaidi yate nitatokomeza RUSHWA. Kwa heshima kubwa nakuomba KURA yako tarehe 25.10.2015. UHURU WA KWELI, MABADILIKO YA KWELI. MUNGU ibariki Tanzania. Nakuomba utume ujumbe huu kwa Watanzania 50. MUNGU akubariki.
 
Back
Top Bottom