wakushanga
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 552
- 92
Habari MTANZANIA, Naitwa Edward Ngoyai Lowassa, nagombea urais kupitia CHADEMA chini ya mwavuli wa UKAWA. Nina nia na dhamira ya kweli ya kuibadilisha nchi yetu. Uwezo ninao na rasilimali tele zipo! Hakuna sababu ya watu wetu kuwa masikini kiasi hiki kwan utajiri wa nchi hii ni wetu wote. Nitaboresha maisha ya wakulima, wafanyakazi, wafanya biashara wakubwa na wadogo na zaidi yate nitatokomeza RUSHWA. Kwa heshima kubwa nakuomba KURA yako tarehe 25.10.2015. UHURU WA KWELI, MABADILIKO YA KWELI. MUNGU ibariki Tanzania. Nakuomba utume ujumbe huu kwa Watanzania 50. MUNGU akubariki.
Eeehhhh.... !!! Sawa tumempata mgombea wa UKAWA. JAMANI KUNA MTU ANASWALI LOLOTE JUU YAKE?? Mi nianze nakumuuliza leo mbona umekimbia mkutano karatu? usikimbie jibu maswali tafadhali.