Nipo katika ufugaji wa kuku wa kienyeji na wa Malawi kwa muda mrefu. Ni mwaka wa pili sasa vifo kwa kuku vinaongezeka licha ya kutimza chanjo za Newcastle, gumboro na ndui kwa wakati mwafaka.
Jirani kanitonya, chanjo nyingi maduka ya pembejeo ni fake nilipo kuwa natumia chanjo toka VIC vifo vilikuwa vichache niliacha kwa urasimu. Taarifa ya 'mhusika hayupo' juma zima uendapo huko ni jambo la kawaida. Ni vema tukawa makini na maduka tununuayo hasa ukiwa na shaka na uadirifu wa mmiliki wa duka.
Jirani kanitonya, chanjo nyingi maduka ya pembejeo ni fake nilipo kuwa natumia chanjo toka VIC vifo vilikuwa vichache niliacha kwa urasimu. Taarifa ya 'mhusika hayupo' juma zima uendapo huko ni jambo la kawaida. Ni vema tukawa makini na maduka tununuayo hasa ukiwa na shaka na uadirifu wa mmiliki wa duka.