Wafuatao wajiandae kumrithi Rais Dkt. Magufuli mwaka 2025 tafadhali

Hapo kwenye red umeongelea rais au au makamu wa rais?

Mkuu mbona una maswali ya Kitoto / Kipuuzi sana? Hapo hujaelewa nini? Nyie ndiyo ambao huwa mnanipandisha Hasira halafu nawachenjia na hali ya hewa kuchafuka.
 
Nisamehe na nikuombe sana radhi kwa kuwaacha hao wanaokuweka Mjini Mkuu. Usijali nitawaja siku si nyingi pale ambapo Baraza la Mawaziri litakapoenda kubadilishwa ambapo kuna uwezekano hao Wanaokuweka mjini wasiwepo tena ( nikimaanisha ) watabadilishwa. Stay tuned!
Labda hujui siasa za CCM hawa unaowabeza ni mastrategist chamani asee!
 
Mkuu mbona una maswali ya Kitoto / Kipuuzi sana? Hapo hujaelewa nini? Nyie ndiyo ambao huwa mnanipandisha Hasira halafu nawachenjia na hali ya hewa kuchafuka.
Mkuu wewe ndiyo unajibu utoto, nakuuliza swari la makamu wa rais unaniletea jibu la rais nashindwa kukuelewa.
 
Mnaharibu sifa ya JF hujui kuwa zbr na tgk(tanganyika) ni nchi mbili enzi za mzee mnyi ziliisha

Sent using Jamii Forums mobile app

Ulipokuwa unaufungua huu uzi GENTAMYCINE alikuwa amekushikia Kisu au Bastola au amekutishia kukurushia Jiwe kubwa la Fatuma ndiyo maana ukaufungua au ni mihemko yako tu ya Kibaiolojia ndiyo imekufanya uufungue?
 
Wrong!!

Katiba inataka iwapo Rais atatoka bara basi makamu atoke Visiwani and vice versa ............. Sasa Mbawara ni ZNZ wakati Ummy ni Bara. Hakuna tatizo hapo!! Ila Gentamycine anatulisha changa .....!!
Mkuu hapo nilipobold jamaa huwa anaitwa Mbarawa au mbawara?? maana kuna siku pia nilisikia Magu anamtaja kama ulivyoandika hapo!! naomba usahihi tafadhdli!!!
 
Kwa mtazamao wangu..naona pana uwezekano mkubwa sana..uyu Wazir mkuu wa sasa akapewa nafasi na Rais wa sasa kwa njia yoyote ile...make wanaendana sana na ataitaji mtu wa kumuweka mjini vizur inje ya katiba.
 
kikwete ni makamu wa rais... uwe unasoma vizuri.. nyinyi ndio hata maofisin mnajibu e mails bila kuzisoma na mkifukuzwa kazi mnalalamika

Alipotoka Mkapa 2005 aliyefuatia Kikwete alikuwa ni Mzanzibari? Nasubiri jibu tafadhali!
 
Wakijilinda Kiafya na kuzidisha sana maombi yao ya Utendaji huku wakiwa waaminifu na wenye moyo hasa wa Kiuzalendo na Mapenzi ya dhati kabisa kwa nchi ya Tanzania basi wafuatao watakuwa Warithi sahihi na wazuri sana wa Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimaliza muhula wake wa pili hapo mwaka 2025

Rais Dkt. Hussein Mwinyi
Makamu wa Rais Jennister Mhagama
Waziri Mkuu Suleiman Jaffo

Endapo hao Watajwa hapo juu Mwenyezi Mungu hatotubariki kuwa nao hadi huo mwaka wa 2025 basi wafuatao wajiandae kuchukua nafasi zao endapo tu na Wao watalinda afya zao, kuzidisha maombi yao kwa Mwenyezi Mungu, wakiwa waaminifu hasa bila kusahau wawe Wazalendo wa kweli kwa nchi ya Tanzania basi watakuwa Warithi sahihi na wazuri sana wa Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimaliza muhula wake wa pili hapo mwaka 2025

Rais Professor Makame Mbarawa
Makamu wa Rais Ummy Mwalimu
Waziri Mkuu Luhanga Mpina

Ombi kwa Watajwa hao hapo juu tafadhalini......

  • Tunzeni afya zenu ( HILI NAOMBA MLIZANGITIE SANA )
  • Jiheshimuni sana ( maisha ya Kihuni / Kisela / Kisanii sasa kaeni nayo mbali )
  • Zidisheni uadilifu wenu
Ombi langu Kuntu kabisa kwa Mheshimiwa Rais Dr. Magufuli juu ya hawa Watajwa ni kwamba.....
  • Waamini sana hao niliowataja hapo juu
  • Wazidishie Ulinzi wao kwani ndiyo Warithi wako wazuri na watarajiwa
  • Wajenge zaidi hasa Kiitifaki
Kila la kheri na ni matumaini yangu makubwa Kwako Mheshimiwa Rais wangu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Magufuli kuwa Mimi GENTAMYCINE nimekurahishia Kazi yako ya kuwakabidhi nchi akina nani hapo mwaka 2025 utakapong'atuka na hao ndiyo pekee watakaokufaa kwani wana uthubutu wa kupita mule mule ambako umepita Wewe na kuzidi kuiletea Maendeleo hii nchi yetu.

Nawasilisha.

Kwa listi yako bora NIENDE ZIMBABWE
 
Kwanza huko kote 2025 kufanya nini? 2020 yatosha apumzike akale pesheni yake tuweke sawa nchi tuendeleze uchumi na mshikamano wa taifa letu. Zingatia hayo yote sio ya ccm tena bali opposition yafaa

mzee mzima haishiwi maneno
 
Wakijilinda Kiafya na kuzidisha sana maombi yao ya Utendaji huku wakiwa waaminifu na wenye moyo hasa wa Kiuzalendo na Mapenzi ya dhati kabisa kwa nchi ya Tanzania basi wafuatao watakuwa Warithi sahihi na wazuri sana wa Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimaliza muhula wake wa pili hapo mwaka 2025

Rais Dkt. Hussein Mwinyi
Makamu wa Rais Jennister Mhagama
Waziri Mkuu Suleiman Jaffo

Endapo hao Watajwa hapo juu Mwenyezi Mungu hatotubariki kuwa nao hadi huo mwaka wa 2025 basi wafuatao wajiandae kuchukua nafasi zao endapo tu na Wao watalinda afya zao, kuzidisha maombi yao kwa Mwenyezi Mungu, wakiwa waaminifu hasa bila kusahau wawe Wazalendo wa kweli kwa nchi ya Tanzania basi watakuwa Warithi sahihi na wazuri sana wa Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimaliza muhula wake wa pili hapo mwaka 2025

Rais Professor Makame Mbarawa
Makamu wa Rais Ummy Mwalimu
Waziri Mkuu Luhanga Mpina

Ombi kwa Watajwa hao hapo juu tafadhalini......

  • Tunzeni afya zenu ( HILI NAOMBA MLIZANGITIE SANA )
  • Jiheshimuni sana ( maisha ya Kihuni / Kisela / Kisanii sasa kaeni nayo mbali )
  • Zidisheni uadilifu wenu
Ombi langu Kuntu kabisa kwa Mheshimiwa Rais Dr. Magufuli juu ya hawa Watajwa ni kwamba.....
  • Waamini sana hao niliowataja hapo juu
  • Wazidishie Ulinzi wao kwani ndiyo Warithi wako wazuri na watarajiwa
  • Wajenge zaidi hasa Kiitifaki
Kila la kheri na ni matumaini yangu makubwa Kwako Mheshimiwa Rais wangu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Magufuli kuwa Mimi GENTAMYCINE nimekurahishia Kazi yako ya kuwakabidhi nchi akina nani hapo mwaka 2025 utakapong'atuka na hao ndiyo pekee watakaokufaa kwani wana uthubutu wa kupita mule mule ambako umepita Wewe na kuzidi kuiletea Maendeleo hii nchi yetu.

Nawasilisha.
nani kasema Rais huyu ataachia madaraka kirahisi wakati kuna wazushi wametumwa waanzishe ile Baki campaign
 
Mimi roho mtakatifu ananiambia Rais atakayefuata baada ya JPM...Rais atakayekuja atakuwa ni mkali kuliko hata JPM, wale wanoasema JPM ni mkali basi wajiombee uzima washuhudie atakayefuata japo sijaonyeshwa ni yupi!.

Lakini wewe mto mada mbona hujamuweka kipenzi Majaliwa??, au type za akina Makonda jamani!!!!
 
Back
Top Bottom