Hapo kwenye red umeongelea rais au au makamu wa rais?
Labda hujui siasa za CCM hawa unaowabeza ni mastrategist chamani asee!Nisamehe na nikuombe sana radhi kwa kuwaacha hao wanaokuweka Mjini Mkuu. Usijali nitawaja siku si nyingi pale ambapo Baraza la Mawaziri litakapoenda kubadilishwa ambapo kuna uwezekano hao Wanaokuweka mjini wasiwepo tena ( nikimaanisha ) watabadilishwa. Stay tuned!
sikweliMkuu Ummy Mwalimu ni MTanga siyo Mzanzibar, katiba inasema makamu wa rais shart atoke Zanzibar
Mkuu wewe ndiyo unajibu utoto, nakuuliza swari la makamu wa rais unaniletea jibu la rais nashindwa kukuelewa.Mkuu mbona una maswali ya Kitoto / Kipuuzi sana? Hapo hujaelewa nini? Nyie ndiyo ambao huwa mnanipandisha Hasira halafu nawachenjia na hali ya hewa kuchafuka.
Mnaharibu sifa ya JF hujui kuwa zbr na tgk(tanganyika) ni nchi mbili enzi za mzee mnyi ziliisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hapo nilipobold jamaa huwa anaitwa Mbarawa au mbawara?? maana kuna siku pia nilisikia Magu anamtaja kama ulivyoandika hapo!! naomba usahihi tafadhdli!!!Wrong!!
Katiba inataka iwapo Rais atatoka bara basi makamu atoke Visiwani and vice versa ............. Sasa Mbawara ni ZNZ wakati Ummy ni Bara. Hakuna tatizo hapo!! Ila Gentamycine anatulisha changa .....!!
Alipotoka Mkapa 2005 aliyefuatia Kikwete alikuwa ni Mzanzibari? Nasubiri jibu tafadhali!
Wakijilinda Kiafya na kuzidisha sana maombi yao ya Utendaji huku wakiwa waaminifu na wenye moyo hasa wa Kiuzalendo na Mapenzi ya dhati kabisa kwa nchi ya Tanzania basi wafuatao watakuwa Warithi sahihi na wazuri sana wa Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimaliza muhula wake wa pili hapo mwaka 2025
Rais Dkt. Hussein Mwinyi
Makamu wa Rais Jennister Mhagama
Waziri Mkuu Suleiman Jaffo
Endapo hao Watajwa hapo juu Mwenyezi Mungu hatotubariki kuwa nao hadi huo mwaka wa 2025 basi wafuatao wajiandae kuchukua nafasi zao endapo tu na Wao watalinda afya zao, kuzidisha maombi yao kwa Mwenyezi Mungu, wakiwa waaminifu hasa bila kusahau wawe Wazalendo wa kweli kwa nchi ya Tanzania basi watakuwa Warithi sahihi na wazuri sana wa Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimaliza muhula wake wa pili hapo mwaka 2025
Rais Professor Makame Mbarawa
Makamu wa Rais Ummy Mwalimu
Waziri Mkuu Luhanga Mpina
Ombi kwa Watajwa hao hapo juu tafadhalini......
Ombi langu Kuntu kabisa kwa Mheshimiwa Rais Dr. Magufuli juu ya hawa Watajwa ni kwamba.....
- Tunzeni afya zenu ( HILI NAOMBA MLIZANGITIE SANA )
- Jiheshimuni sana ( maisha ya Kihuni / Kisela / Kisanii sasa kaeni nayo mbali )
- Zidisheni uadilifu wenu
Kila la kheri na ni matumaini yangu makubwa Kwako Mheshimiwa Rais wangu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Magufuli kuwa Mimi GENTAMYCINE nimekurahishia Kazi yako ya kuwakabidhi nchi akina nani hapo mwaka 2025 utakapong'atuka na hao ndiyo pekee watakaokufaa kwani wana uthubutu wa kupita mule mule ambako umepita Wewe na kuzidi kuiletea Maendeleo hii nchi yetu.
- Waamini sana hao niliowataja hapo juu
- Wazidishie Ulinzi wao kwani ndiyo Warithi wako wazuri na watarajiwa
- Wajenge zaidi hasa Kiitifaki
Nawasilisha.
hapa umejambaUkiona hadi GENTAMYCINE anakukubali jua hata Mwenyezi Mungu ameshakuwekea tiki na amekukubali kwani Mimi ni Malaika wake wa Kutukuka kabisa hapa duniani.
nani kasema Rais huyu ataachia madaraka kirahisi wakati kuna wazushi wametumwa waanzishe ile Baki campaignWakijilinda Kiafya na kuzidisha sana maombi yao ya Utendaji huku wakiwa waaminifu na wenye moyo hasa wa Kiuzalendo na Mapenzi ya dhati kabisa kwa nchi ya Tanzania basi wafuatao watakuwa Warithi sahihi na wazuri sana wa Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimaliza muhula wake wa pili hapo mwaka 2025
Rais Dkt. Hussein Mwinyi
Makamu wa Rais Jennister Mhagama
Waziri Mkuu Suleiman Jaffo
Endapo hao Watajwa hapo juu Mwenyezi Mungu hatotubariki kuwa nao hadi huo mwaka wa 2025 basi wafuatao wajiandae kuchukua nafasi zao endapo tu na Wao watalinda afya zao, kuzidisha maombi yao kwa Mwenyezi Mungu, wakiwa waaminifu hasa bila kusahau wawe Wazalendo wa kweli kwa nchi ya Tanzania basi watakuwa Warithi sahihi na wazuri sana wa Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimaliza muhula wake wa pili hapo mwaka 2025
Rais Professor Makame Mbarawa
Makamu wa Rais Ummy Mwalimu
Waziri Mkuu Luhanga Mpina
Ombi kwa Watajwa hao hapo juu tafadhalini......
Ombi langu Kuntu kabisa kwa Mheshimiwa Rais Dr. Magufuli juu ya hawa Watajwa ni kwamba.....
- Tunzeni afya zenu ( HILI NAOMBA MLIZANGITIE SANA )
- Jiheshimuni sana ( maisha ya Kihuni / Kisela / Kisanii sasa kaeni nayo mbali )
- Zidisheni uadilifu wenu
Kila la kheri na ni matumaini yangu makubwa Kwako Mheshimiwa Rais wangu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Magufuli kuwa Mimi GENTAMYCINE nimekurahishia Kazi yako ya kuwakabidhi nchi akina nani hapo mwaka 2025 utakapong'atuka na hao ndiyo pekee watakaokufaa kwani wana uthubutu wa kupita mule mule ambako umepita Wewe na kuzidi kuiletea Maendeleo hii nchi yetu.
- Waamini sana hao niliowataja hapo juu
- Wazidishie Ulinzi wao kwani ndiyo Warithi wako wazuri na watarajiwa
- Wajenge zaidi hasa Kiitifaki
Nawasilisha.
Mbona kila majina matatu yako unaweka waislam wawili na mkristo mmoja?
Mkuu wewe ndiyo unajibu utoto, nakuuliza swari la makamu wa rais unaniletea jibu la rais nashindwa kukuelewa.